Msidanganywe eti sasa hivi hali ya maisha ughaibuni ni rahisi

hao mabinti wanaopewa talaka kwa sababu ya haki ngumi waambie wajilipue waje Bongo hawatojutia....huku unaweza kuwa na madanga nane....unacollect 50k kwa kila mmoja per day...
Kwahiyo unataka kutuambia wadangaji waliopo hapa bongo Wana collect 8 *50000=400000/- kwa siku? Wanaotoa 50000 kwa malaya Hawa wapo mkoa gani?
 
Unachokisema ni sawa kabisa, sasaivi kumeoza but tuvute subra pengine 2022 kutatulia

Miongoni mwa vitu vinavyonitia Stress ni Arsenal nakosa furaha na najihisi hasira sana kila inapofungwa
Pole mkuu nimeona arsenal Wana nguvu kuliko timu yoyote kwenye EPL, maana kabeba timu zote.
 
Wapolishi wanajitumaga kubeba boksi sana halafu mabaguzi kichizi
Aisee hii mbegu ya kizungu ni wabaguzi sijawahi ona! Niliwahi kufanyiwa tukio la uongo kazini na wadada wa kipolishi! Kilichoniokoa kwenye lile kundi kulikuwa na mmoja wao alikuwa amenihusudu na alikuwa rafiki sana ndio akakanusha kwenye kikao kuwa tukio ni la uongo na walilipanga ili nifukuzwe maana nilikuwa naelekea kuwa manager wa kile kitengo na akaonyesha meseji walizokuwa wakitumiana kupanga mkakati, walisingizia nimemshika matako mwenzao!
 
Duuu kwahiyo nisikilizie kwanza,maana nishaanza kuchukua hatua za kujilipua Scandinavian countries Aisee!
Bongo ngumu Sana Aisee,Bora nusu Shari kuliko Shari kamili!

Tunatishana Sana ndugu zanguni!
Umeshaambiwa kuna msosi wa bure huko kila siku saa nne asubuhi..mambo hayo hapa bonho umeona wapi?? ..

Nenda kapambane kiume wakati wa crisis ndio wengine huona fursa hjko nakufanikiwa kiuchumi
 
Nilikwenda usa mkuu.
 
Nyie vijana muende wote ulaya mkabebe maboksi lkn siku mkiamua kurudi asilimia 99.9 mtakuwa hoi mnarudi na nguo na viatu
 
Nilipokuwa USA, Walmart nishabeba boksi kwa sana. ICA, Meny, Rema 1000, Rimi, Coop, Kiwi, Bunn Pris, Nille, Burger King, Frelseesarme aka Salvation Army, Adecco, Manpower nishafanya kazi sehemu kibao Oslo na vitongokji jirani.
 
Wahamiaji mnachukua madili
 
Kuna bwana mmoja ameomba kujua abcd za nchi iitwayo austria.

Austria ya vienna..achana na ile ya sydney.

Unganisheni na uturuki.
anapoishi mbwana.
 
Nikweli ni mbaya unaumia nini, Bora mchawi kuliko wewe! Wivu tu
 
Vipi hali imeshakaa sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…