Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wiki iliyopita, Bunju kulikuwa kuna kiwanja cha jamaa kinauzwa, na mimi nilikuwa mmoja wa mashahidi. Gafla, serkali za mitaa zilianza kutaka kuulizia kiwanja kinauzwa shilingi ngapi. Mnunuzi akamwambia hiyo ni makubaliano yangu na anayeniuziya. Mwenyekiti akakataa kutoa ushirikiano mpaka ajue shilingi ngapi.
Alipoulizwa, akajibu kwa amani. Mtendaji alipofika, akampigia simu jamaa yetu, “Kaka njoo,” na wakaonana sehemu ya chakula, ambapo alikumbwa na heshima kama boss mnunuzi. Alipofika, alielezwa, “Mimi ni mtendaji, hawa ndio wanahusika na hiki kiwanja, naomba nikuhakikishie hilo.”
Jana, akapigiwa simu njoo kwa wakili sehemu fulani, na alipokwenda, akalamba hela yake safi ya ahsante. Leo, vifaa vinasafirishwa kwa lori za maatoafa, na mwenyekiti anapiga simu, akijibiwa kuwa ana makaratasi ya mwanasheria.
Akaanza kuwa mpole, na ndugu, hata kuonyesha umuhimu wangu, akamwambia, “Wewe si unataka kujua bei ya kiwanja cha mtu? Hiyo sio kazi yako... ujenzi unaendelea.” Nikasema kumbe hawa jamaa wanawapiga sana wananchi. Kuna sehemu mwenyekiti alitaka asilimia 7 ya mauzo, akajibiwa, “Subiri.” Akakutana na manyoya.
Alipoulizwa, akajibu kwa amani. Mtendaji alipofika, akampigia simu jamaa yetu, “Kaka njoo,” na wakaonana sehemu ya chakula, ambapo alikumbwa na heshima kama boss mnunuzi. Alipofika, alielezwa, “Mimi ni mtendaji, hawa ndio wanahusika na hiki kiwanja, naomba nikuhakikishie hilo.”
Jana, akapigiwa simu njoo kwa wakili sehemu fulani, na alipokwenda, akalamba hela yake safi ya ahsante. Leo, vifaa vinasafirishwa kwa lori za maatoafa, na mwenyekiti anapiga simu, akijibiwa kuwa ana makaratasi ya mwanasheria.
Akaanza kuwa mpole, na ndugu, hata kuonyesha umuhimu wangu, akamwambia, “Wewe si unataka kujua bei ya kiwanja cha mtu? Hiyo sio kazi yako... ujenzi unaendelea.” Nikasema kumbe hawa jamaa wanawapiga sana wananchi. Kuna sehemu mwenyekiti alitaka asilimia 7 ya mauzo, akajibiwa, “Subiri.” Akakutana na manyoya.