Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Msifurahi yangu ewe adui yangu,niangukapo Mimi, nitasimama tena
Si vyema kunisema vibaya,nipatapo tatizo,shetani wampa nafasi ndani ya moyo wako!! Aliimba martha,huo ndo wimbo ambao mashabiki wa mikia fc wanasikiliza sana kwa sasa
Wanasema ufupi sio kilema,ndo maana hawatembelei magongo. Mambo sio mambo msimbazi,wao wanaamini sare hizo ni upepo tu utapita
Wakiwakiwakabirisha wakata miwa wikendi hii,simba aliyelowa atapata tena nafasi kudhihirisha kama anaweza kung'ata.
Kenda hapo mbali na kumi,na kumi ukijumlisha moja bado dazani !!
Tusubiri tuonee,simba atapakatwa tena au atakula miwa?
Pole simba,kumbuka naenda tenzi na omo,marejeo ngomani,je simba watarejea?
Mimi ni Deo Corleone kwa niaba ya Binge hemed kivuyo wa itviiiiiiii
Si vyema kunisema vibaya,nipatapo tatizo,shetani wampa nafasi ndani ya moyo wako!! Aliimba martha,huo ndo wimbo ambao mashabiki wa mikia fc wanasikiliza sana kwa sasa
Wanasema ufupi sio kilema,ndo maana hawatembelei magongo. Mambo sio mambo msimbazi,wao wanaamini sare hizo ni upepo tu utapita
Wakiwakiwakabirisha wakata miwa wikendi hii,simba aliyelowa atapata tena nafasi kudhihirisha kama anaweza kung'ata.
Kenda hapo mbali na kumi,na kumi ukijumlisha moja bado dazani !!
Tusubiri tuonee,simba atapakatwa tena au atakula miwa?
Pole simba,kumbuka naenda tenzi na omo,marejeo ngomani,je simba watarejea?
Mimi ni Deo Corleone kwa niaba ya Binge hemed kivuyo wa itviiiiiiii