LGE2024 Msigwa awaita Mbowe na Lissu CCM

LGE2024 Msigwa awaita Mbowe na Lissu CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Aliyekuwa kada wa CHADEMA Mch. Peter Msigwa amewaomba radhi wanachama wa CCM kwa maneno aliyokuwa akiyasema wakati akiwa upinzani.

Msigwa amesema, "CCM niwaombe radhi kwa maana nilikuwa mtata sana, ni kama yule kipofu Nilikuwa kipofu sasa naona, kama yule Paulo wa kwenye biblia alikuwa Sauli nuru ilipomuangazia akarudi akawa Paulo na mimi nuru imeniangazia" Amesema Msigwa.

Pia Msigwa amewataka viongozi wa CHADEMA wakiwemo Tundu Lissu, Freeman Mbowe na Joseph Mbilinyi "Sugu" kujiunga na CCM, "Kama wameshindwa kuwaongoza wananchi waje nyumbani kumenoga" Amesema Msigwa.

 

Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Aliyekuwa kada wa CHADEMA Mch. Peter Msigwa amewaomba radhi wanachama wa CCM kwa maneno aliyokuwa akiyasema wakati akiwa upinzani.

Msigwa amesema, "CCM niwaombe radhi kwa maana nilikuwa mtata sana, ni kama yule kipofu Nilikuwa kipofu sasa naona, kama yule Paulo wa kwenye biblia alikuwa Sauli nuru ilipomuangazia akarudi akawa Paulo na mimi nuru imeniangazia" Amesema Msigwa.

Pia Msigwa amewataka viongozi wa CHADEMA wakiwemo Tundu Lissu, Freeman Mbowe na Joseph Mbilinyi "Sugu" kujiunga na CCM, "Kama wameshindwa kuwaongoza wananchi waje nyumbani kumenoga" Amesema Msigwa.

PIA SOMA

- LGE2024 - Mchungaji Msigwa: Kama nilivyoshambulia CCM, naishambulia CHADEMA kwa sababu ni waongo. Tumeandamanisha watu, wengine wamekufa!
 
Uzuri ni kwamba hakuna anaye jishughulisha kumjibu
 
Msigwa angejua uhusiano wa Samia na Mbowe angepunguza hicho kimbelembele..

Hajaijua CCM vizur... na hii platform wanampa kumtumia, asipowawahi asubir kurud tena CDM kumuomba Mbowe msamaha..

Ugomvi wake na Mbowe unamuhusisha mwenyekit wa Chama chake kipya kwa kusema Mbowe nafanya biashara na CCM kupitia mwenyekiti wa CCM, (audio ya wasup group)

Awe tu makini, at 60 hana kipya sana cha kufanya CCM... Muda utasema
 
Back
Top Bottom