Pre GE2025 Msigwa: Bwana Mkubwa ana historia ya kuondoa wanaomfahamu. Orodha ilitajwa kuwa lazima Msigwa, Lissu, Lema na Heche waondoke

Pre GE2025 Msigwa: Bwana Mkubwa ana historia ya kuondoa wanaomfahamu. Orodha ilitajwa kuwa lazima Msigwa, Lissu, Lema na Heche waondoke

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Akihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji

Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”

Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu

Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”

 
Tulionya kabisa hapa kuhusu chanjo ya cvd

Matokeo yake ndiyo haya sasa

Msigwa hayuko sawa, yaani anazungumzia watu ambao walikuwepo Chadema miaka 15+ iliyopita eti walitakiwa lazima waondoke, halafu yeye aliona sawa tu!

Huo ni upuuzi na uwongo wa wazi kabisa
 
Akihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji

Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”

Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu

Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”

Huyu ni kama mke aliyeachwa na mme ambaye bado anampenda, atabwabwaja sana
 
Akihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji

Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”

Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu

Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”

Yeye msigwa hakuondolewa na Mbowe CHADEMA ni tumbo lake ndilo limemuondoa CHADEMA.
 
Akihojiwa na Mwanahalisi Digital, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na baadaye kuhamia CCM, Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa kuna orodha kabisa imewekwa ya Watu wa kuondoka ambapo yupo Msigwa, Lissu, Lema na Heche kwa sababu ni watu wana uelewa na wanahoji

Amesema Wakati fulani nakumbuka tulikuwa na akina Baregu (marehemu), Prof. Kitila, Zitto Kabwe, walikuwepo watu wengi wazuri. Ulikuwa ukiiona Kamatyi Kuu ya CHADEMA, wakijipanga hivi unaona kuna Chama mbadala. Ila kwa bahati mbaya uelewa ulikuwa mdogo”

Ameongeza kuwa kutokana na uelewa mdogo ni saw ana mbuzi kuchekelea wakati mwewe akichukua kuku na kusahau kuwa bucha lipo karibu

Amesema “Tulichekelea sana Kitila wanachukuliwa na mwewe, Zitto wanachukuliwa na Mwewe, na kusahau kuwa bucha lipo karibu. Mambo haya kweli yalifanyika kipindi hicho. Bwana mkubwa [Mbowe] ana historia akiona mtu anamfahamu vizuri lazima atafuta namna ya kumuondoa. Ndio maana list ya kutaka kutuondoa imetajwa kabisa. Lazima aondoke Msigwa, Lissu, Lema na Heche”


Huyu kama CDM ingejitambua alikuwa hazina kubwa huko aliko.

Tena kama vipi na wengi wengine wa na aina za kina Lissu wangejazana huko kabla ya kuwamwaga Raila style na KANU.

Tatizo mijuaji mingi.

Cc: imhotep
 
Back
Top Bottom