Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Duh...!.Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Ndio mjue huyo Mkuu watu hawampendi ni basi tu kwakuwa ameshika kwenye mpini na hawahawa ndio wanaoweza kuja kumgeuka na kumuangusha.Duh...!.
P
Ndugai siyo mzima , anayoyatenda bungeni ni aibu kwa nchi , sijawahi kuona spika yeyote aliyepita akifanya siasa za kishamba za ccm ndani ya bunge kama Ndugai , anaonekana kama mtu mshamba na limbukeni mno !Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Naunga mkono hoja.Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Msigwa ni janga mchungaji muongo kuwahi tokea TanzaniaMsigwa, hilo faili la Ndugai ni kweli au ndo yaleyale ya siasa za maji taka dhidi ya Kinana?
Nod yaleyale uliyosema kuwa yeyote atakayemuunga mkono Lowasa akapimwe akili?, kisha ukawa muungaji mkono mkubwa?
Halafu yeye mwenyewe wala hastuki !Kusema ukweli MaCCM yote yamemdharau sana sana Magufuli.
Namna ambavyo wanamsifia kibwege bwege ni aina ya kumzihaka tu.
Muhimu kwao ni vyeo ili wapige pesa tu.
CCM sasa ni wanafiki ,mkuu kafanikiwa kuwajengea hofu nao wanampamba kwa mgongo wa chupa.Muogope sana mtu anaejipendekeza sana kwako mbele ya umma, ujue ukiondoka anakuponda kwa kiwango kile kile au zaidi ya anavyokusifia ukiwa nae.