Msigwa: Hata mimi nina faili la Spika akimsema vibaya "Mkuu"

Msigwa: Hata mimi nina faili la Spika akimsema vibaya "Mkuu"

Anayo yafanya ndugai kwann wasiachie huo upuuz wake atulie maana ataenda kushindikana soon
 
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
mwaga mboga, nitamwaga ugali.....
 
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Ebu spika na aanze tuone itakuaje maana ndugu mchungaji namuelewa.
 
Mwenye faili la Spika ni nani? Ni huyu Msigwa mwongo, mzushi na mzandiki. ? Si juzi tu kaomba radhi kwa Kinana kwa kumzushia uongo. Hakuna wa kumwamini Msigwa.
 
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!

Kama aliomba msamaha kwa Kinana sasa bado anaaminika kweli?
Hizo ni porojo tu, msigwa kwa sasa hawezi kuaminika hata kwa mke wake.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Inaonyesha kuwa watanzania sio watu makini, ukiwa na kiongozi bogus wala usitafute mchawi coz huyo kiongozi anatoka kwenye jamii ya watu wa aina hiyo!!
 
Kwanini Hospital ya Milembe ijengwe Dodoma? Hivi unaweza kuwekeza mahali ambapo hakuna wateja wala materials? Why CCM wahamie Dodoma??
 
Ndugai siyo mzima , anayoyatenda bungeni ni aibu kwa nchi , sijawahi kuona spika yeyote aliyepita akifanya siasa za kishamba za ccm ndani ya bunge kama Ndugai , anaonekana kama mtu mshamba na limbukeni mno !
Unawajua wagogo vizuri? wala sishangai
 
Kwa ishara hii kutoka Kwa Mch Msigwa, ni ishara ya kukubali kuwa anayo mambo mengi machafu ambayo huwa anayafanya, na kwa kuwa wengi wa wanasiasa kila mmoja anamzigo wake na madhambi yake, basi kila mtu hulazimika kutunza Siri za mwenzake kuhofia pia kufichuliwa maovu na madhambi yake

Kwa hiyo, Ili tujue uovu wa Ndugai, ni lazima Ndugai aseme uovu wa Msingwa Mch, kuna haja gani SASA ya kumdhihaki Nkurunzinza Kwa Yale ambayo tunayafahamu, tukaponda Sana na kusema sana juu Nkurunzinza ili Hali Sisi tuna uozo mkubwa usiyojulikana Kwa wengi

Mimi huwa nawashangaa watu kujitokeza hadharani kuponda mienendo ya watu wengine utadhani wao ni watakatifu kweli, kumbe ni upumbavu uliopitiliza

Ukiwaona machoni ni kama watu, wanaongea Hadi mate yanatoka, wananukuu na Mandiko kutoka vitabu vitakatifu kumbe matendo Yao ni hivyo hovyo Tu

Magufuli tupeleke hivyohivyo, tulishachoshwa na wazandiki wazushi na hawalitakii mema Taifa letu,

Mwingine kalewa kaanguka, kuamka Anasema amepigwa na watu wasiojulikana

Pumbavu kabisa
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:

Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Hahahaha niguse ninuke mpaka October ww na bando lako tu

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Msigwa huyu huyu aliyempigia goti na kumtaka radhi Kinana, au yule Msemaji wa Ikulu.?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Viongozi wetu wameanza na mambo binafsi, wakiendelea na hayo hawatabaki salama.spika ameanza mchezo huu.huku mtaani tunajua machafu mengi sana ya viongozi.tumekaa kimya
 
Msigwa mgombea uraisi wa Mbowe ndiye huyu au? Muongo balaa
 
Viongozi wetu wameanza na mambo binafsi, wakiendelea na hayo hawatabaki salama.spika ameanza mchezo huu.huku mtaani tunajua machafu mengi sana ya viongozi.tumekaa kimya
Wakisema watu wafunguliane mambo binafsi
Hko hapata kalika....
Hata hivyo kufatilia mambo hayo ni ujinga tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom