Tokea Ndungai apige ile bilion 12 akaona kuna kesi mbele yake kaamua kujitoa fahamu ni mwendo wa kumsifia mtukufu saa zote hata akiwa ndotoni na endapo atakuja kuwa spika tena lazima atabadili katiba iwe kama chini ambapo Rais anakuwa wa milele mpaka akizeeka na kustaafu mwenyewe kwa Mapenzi yake kama afanyavyo papa john paul wa piliDuh...!.
P
Mtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Niguze nindukeKaandika hivi kupitia mtandao wa twitter:
Spika jana ametishia kwamba eti ana faili la mambo yangu mengi, hawezi kunifunga mdomo nisifanye kazi yangu ya Kibunge. Kama ni faili hata mimi ninalo lake akimsema vibaya Mkuu na nikifunguka hata huko kujipendekeza kwake hataaminika tena. Niguse ninuke!
Hii ndiyo awamu ya tano hushangai jinsi magu alivyoupata urais katika nchi yenye watu wengi wenye uwezo mkubwaMtu kama Ndugai sijui hata alipataje ule uspika
Sekou Toure Guinea President 1958-84.CCM sasa ni wanafiki ,mkuu kafanikiwa kuwajengea hofu nao wanampamba kwa mgongo wa chupa.
msigwa umepoteza uaminifu kitambo.
kamwe huwezi kuaminika ktk jamii.
laaana ya mzee kinana itakutafuna hadi mwisho wa siasa zako
Wacha zako wa Ng'wise, naomba uchangie wacha kusema Duh..! Peke yake tunahitaji maoni yako, na wewe nina faili lako! Ukinifuatafuata naliweka hadharani!! Duu, hapo Ndugai lazima aufyate!Duh...!.
P
Mtaandika sana
Lakini Tumeshtuka
Kiki imebuma
Hamshindi Mbowe. Bingwa wa kuigizaNdugai siyo mzima , anayoyatenda bungeni ni aibu kwa nchi , sijawahi kuona spika yeyote aliyepita akifanya siasa za kishamba za ccm ndani ya bunge kama Ndugai , anaonekana kama mtu mshamba na limbukeni mno !
Spika ni dikteta ingawa ni dhaifu yeye na bunge lake. Akiachia upuuzi wa spika anaweza akapelekwa kamati ya maadili. Spika ana majambo mengi mno.Si aliachie tu Ndugai aumbuke au anaogopa Spika ataliachia la kwake?
Kama lijualikali tayari keshavua joho la hekima na kalivaa la ushetani na akili zishamruka kabisa, kabla hata hajafika getini.Kwa bahati mbaya sherti la kuwa mwana CCM ni sherti uvae joho la ushetani na ukazizika akili zako mpaka pale utapotoka chama hicho. Sijui tufanyeje!!!!!!
Unaonaa eeh basi mshauri mh spika amwage ubuyu,,,,,asipo mwaga ujue kuna kituMwenye faili la Spika ni nani? Ni huyu Msigwa mwongo, mzushi na mzandiki. ? Si juzi tu kaomba radhi kwa Kinana kwa kumzushia uongo. Hakuna wa kumwamini Msigwa.
Kama lijualikali tayari keshavua joho la hekima na kalivaa la ushetani na akili zishamruka kabisa, kabla hata hajafika getini.Kwa bahati mbaya sherti la kuwa mwana CCM ni sherti uvae joho la ushetani na ukazizika akili zako mpaka pale utapotoka chama hicho. Sijui tufanyeje!!!!!!