Msigwa: Nilipokuwa CHADEMA nilikuwa Mjinga

Ulikuwa mjinga!!!! na bado uliendelea kuwa mchungaji means mchungaji mjinga alikuwa na kanisa lake lenye waumini. Waumini wajinga
 
Kuna jamaa nae alipotoka ukatoliki akakandia kuwa kanisa ni freemanson, alipokuwepo alikuwa mjinga, alipotoka akagundua hilo.
 
Kaenda kuungana na wauaji
Wamekiri wenyewe ni wauaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…