Ndg yangu Msigwa habari! Nimefuatilia kiasi kikubwa mikutano uliyopewa nafasi kutoa hotuba yako. Nindhani tutakuwa tumekuelewa.
Sasa itakuwa ni vizuri utueleze na uzuri wa huko uliko hamia CCM.
1. Kama rushwa haiko.
2. Maneno aliyosema Nape kama si sahihi.
3. Katiba ya sijui Tanzania au Tanganyika kama ipo, kama Iko sawa.
4. Tume ya uchaguzi kama Iko sawa.
5. Kauli za yule mwenyekiti wa vijana Ngara kama haziko kule aliko. Mmm
6. Demokrasia kama Iko huko maana nasikia form ya mgombea huko ni moja tu, mtu asithubutu. 7. Yaliyosemwa kwenye gazeti la Nipashe la leo tarehe 21 anayehusika kuchepusha mpunga n Nan.
8........ nk. Msigwa tunataka kukufuata ila tuambie kama hayako huko niliyotaja na mengine.
Sasa itakuwa ni vizuri utueleze na uzuri wa huko uliko hamia CCM.
1. Kama rushwa haiko.
2. Maneno aliyosema Nape kama si sahihi.
3. Katiba ya sijui Tanzania au Tanganyika kama ipo, kama Iko sawa.
4. Tume ya uchaguzi kama Iko sawa.
5. Kauli za yule mwenyekiti wa vijana Ngara kama haziko kule aliko. Mmm
6. Demokrasia kama Iko huko maana nasikia form ya mgombea huko ni moja tu, mtu asithubutu. 7. Yaliyosemwa kwenye gazeti la Nipashe la leo tarehe 21 anayehusika kuchepusha mpunga n Nan.
8........ nk. Msigwa tunataka kukufuata ila tuambie kama hayako huko niliyotaja na mengine.