imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hawataonekana hapa labda wale wenye vi IQ hafifu.subiri MATAGA waje......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataonekana hapa labda wale wenye vi IQ hafifu.subiri MATAGA waje......
Alishasema hagombei tenaa!Yaani natamani CHADEMA waweke mtu makini sana pale Kongwa 2025
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Tanzania Ilioza Kweli KweliKwakweli hatufanyi sherehe kwa kifo cha mwendazake lakini Mungu katuepusha balaa kubwa sana.
Tutakuwa taifa la wapumbavu tukiruhusu watu aina ya mwendazake kushika madaraka tena
Au nasema uwongo ndugu zangu?Tanzania Ilioza Kweli Kweli
Mengine Yanatia Kinyaa Kama Haya
Mwendawazimu yule .Kwakweli hatufanyi sherehe kwa kifo cha mwendazake lakini Mungu katuepusha balaa kubwa sana.
Tutakuwa taifa la wapumbavu tukiruhusu watu aina ya mwendazake kushika madaraka tena
Hilo linajulikana ndio ilikua kazi ya Polepole na Ndugai, waliokataa kununuliwa kama kuku sokoni, walikabiziwa kwa Bashite na Sabaya.Kumbe Ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatumika kurubuni na kuwatisha Wabunge wetu ili wahamie CCM?
Kwani huo ubunge kazaliwa nao.si ni kazi tu ambayo leo ipo na kesho haipo.Heshima na utu wa mtu ni jambo jema na la thamani kuliko vyeo na madaraka yakupita.Ata hivyo hujui Neema ya Mungu kwa msigwa kwa hiyo kaa utulie.Zilipendwa huyo.
Kama aliambiwa hivyo na yakatimia sasa anataka nini tena?
Atwambie kama alikuwa nanhongwa au la?
Alitumia haki yake kugoma na cha moto alukiina ndo maana sasa sio mbunge
Yule mzee alikuwa na aina ya uwendawazimu wa kipekee.Yalikua maandalizi ya miaka saba ya nyongeza
Najua kuna wanakataa lakini kiukweli yuke mzeee alikuwa anaongeza miaka saba sema Mungu atabaki kuwa MunguWanaodhani Magufuli alikuwa amepanga kuachia madaraka 2025 wafikirie mara mbilimbili
Mipango yake yote ya kuharibu taasisi za checks and balance inaonyesha kuwa huyo mtu kama angekuwa hai asingetoka madarakani