Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars

Msigwa: Tutafanya kila kitu kinachohitajika kufuzu AFCON. Watanzania wasiikatie tamaa Taifa Stars

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

 
Hapo unakuta hajui hata kinahitajika kitu gani ili tufuzu ila anasema tutafanya kila kinachohitajika
1000012670.jpg
 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

IMG_3871.jpeg
 
Mkuu hivi hii ilikuwa ni tukio gani.

Kama vile ilikuwa halftime fulani hivi 😀 wakipanga mikakati ya kwenda kupindua meza.

Nimeipenda sana hii picha. Selelii naona ndo chair hapo. Sendeka ni kama alikuwa anauza mipango tu.

Bashite naona alikuwa anajifunza mbinu.

Nape yeye ndo kama msukuma kete.. driver.. mwigulu kama anakula timing fulani hivi.

Huyu mwakiembe ni kama ndiye aliripoti jambo ili lijadiliwe 😃😃.

Kikao cha dharura ndo hiko sasa.
 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

Yaani wameshindwa kufanya miundombinu hapa tumalizane na hawa wakongomani wanaanza kutuletea stori.
 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

Aiseeeee.....
 
Probably anamaanisha watahusisha sangomaz zaidi ya waliotumia awali!
 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

Mbona makatibu wengine wa wizara sionagi wakiwa wasemaji?
 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

Hii wizara haijawahi pata watu sahihi.
 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.​

Mtafanya nini?
 
Back
Top Bottom