Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Amina
Tuna imani na Taifa Stars
Kila la kheri Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini au anajua kwenda afcon kuna wakurugenzi wa halmashauri,tamisemi na mhengerwa?
Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa amesema Serikali iko tayari kufanya kila linalohitajika ili kuwezesha Taifa Stars kufuzu michuano ya AFCON 2025.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo, Gerson Msigwa ameomba Watanzania kutoikatia tamaa timu ya Taifa (Taifa Stars) kwenye michezo inayofuata ya kufuzu AFCON 2025 baada ya kufungwa mabao 2 -0 na DR Congo.
Akili za kiccm zimeathiri pakubwa sana.Hapo unakuta hajui hata kinahitajika kitu gani ili tufuzu ila anasema tutafanya kila kinachohitajika
View attachment 3125890