Sorrow to Joy
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 292
- 59
nani kaichafua???
unaposemea wataalamu wengine unamaanisha nini??? je unamaanisha wanatokea ud?? kwani hamna wataaalamu wanaotokea vyuo vingine na wengine wapo hapo ud wanakufundisha???
Kiacheni chuo chetu bhana!! Pilipili ya shamba yawawashia nini? Mie nili-enjoy kuishi hall 5 miaka miwili!! Udsm ni zaidi ya chuo na ndo maana kinaitwa chuo kikuu kikongwe!! Asa wakibomoa na hayo majengo ule uasili si utapotea? Cha kufanya nahisi watajenga hostel nyingne then yale yabaki kuwa kama historia i.e makumbusho
Rolling stone gathers no moss
acha kujisimesha pumba we si ndio ulijaza udsm mara tatu ili iwe first priority yako kwa kua huna vigezo una points mbya umekosa umepelekwa chuo cha kata afu sasa ivi unajisemesha acha kua kama dada wewe
UDSM hamna kitu hapo.
Anzeni kwanza na hata usafi wa mazingira yenu tu.
Vyoo vyenu vinanuka sana. Mabweni yenu hususan yale maghorofa ipo siku yataleta majanga.
If I were a student there, out of an abundance of caution, I'd not even think of going inside them let alone living in them.
One Nineten Sixty One ... Tanganyika and Zimbabwe