Msije kusema hamkuambiwa namna Ngono kwa mdomo inavyo sababisha Saratani

Hata sisi wenye "ndoa zetu"[emoji41]aminifu kabisaa tuko hatiani au ni wale wenye "orodha" zao ndio wahanga wakuu??

Damn iT"
Damn It.. sasa hapo utakuwa unausemea moyo wa mwenzi wako ...unaweza vipi kujua kuwa hachepuki walau kiduchu ... jambo lingine pia hiyo saratani haisababishwi na mtu kuvitumia viungo vyake vya siri kwa watu tofauti la hasha ...bali ina sababishwa na virus waliopo kwenye hizo spare parts..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha aise ...nilijua tu wadau hamtoweza kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mtume Mohamed alifarika, kama Yesu alifariki, kama Mwl Nyerere alifariki. Who are you usifariki?

Ni lazma tufe wote wazaliwe wengine huwezi kuninyima raha kisa kuongopa kuna kifo... Mim hata nipate changudoa nazama chumvini ndiyo napiga mzingo

Magufuli tunaomba uchunguze hii hosp wafutiwe leseni
 
Halafu mijitu ikifa inasema mkakati wa wazungu kutupunguza kha! nakubaliana na hao madaktari kila kiungo kitumike kama inavyotakiwa mambo mengine nawaachia wanaojiita mafundi uchwara.
Mkuu siunaona jinsi watu wanavyo mwaga mapovu hapa wanapinga vikali .... wanaona fantasy zao zimeingiliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Potelea pote😅
 
Haha Mshana Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…