Msije kusema hamkuambiwa namna Ngono kwa mdomo inavyo sababisha Saratani



cc: Wema Sepetu, Hamisa Mobetto, Kajala, Aunty Ezekiel, na wasanii wengine wa bongo movie na fleva wasiojitambua.
 
We sio mdau??
Aahh siiogopi saratani au !!? .... mimi sitaki kabisa huo udau wa namna hiyo .... watoto wangu bado wadogo na mimi nikiwa kama mzazi ndio tumaini lao kuu ....... sitaki wabaki mayatima na kuwaachia umasikini uliotukuka ....imagine nikipata hayo maradhi na weza kutumia mali zote kwaajili ya kujiuguza family ikabaki inakula ugali na mchunga Daily kwaajili ya mistake yangu ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂sawa mzee baba,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…