yahooo
Senior Member
- Apr 8, 2015
- 126
- 276
Nawataarifu tu wadau huyu mama Askari anayetuhumiwa kuwatuma vijana kufanyia udhalilishaji Kwa Binti wa yombo anaweza akatoboa kinyume kabisa na matarajio ya wengi:
Mfano wa kesi inayotaka kufanana na hii ni Ile ya aliyekuwa bosi wa jeshi la polisi miaka ya Nyumba somebody zombe, alituhumiwa kusimamia mauaji ya wafanyabiashara waliouliwa na polisi wakidhaniwa ni majambazi , alishinda kesi Kwa kigezo kwamba hakushika bunduki..
Najiuliza je huyu mama alibaka
Na je akikana kuwatuma ya kwamba hapo vijana walikuwa wanampango wa kumchafua..
Ngoja tusubiri
Mfano wa kesi inayotaka kufanana na hii ni Ile ya aliyekuwa bosi wa jeshi la polisi miaka ya Nyumba somebody zombe, alituhumiwa kusimamia mauaji ya wafanyabiashara waliouliwa na polisi wakidhaniwa ni majambazi , alishinda kesi Kwa kigezo kwamba hakushika bunduki..
Najiuliza je huyu mama alibaka
Na je akikana kuwatuma ya kwamba hapo vijana walikuwa wanampango wa kumchafua..
Ngoja tusubiri