Msijidanganye na Katiba mpya, Dikteta huwa haangalii Katiba, Nyote mtaufyata

Msijidanganye na Katiba mpya, Dikteta huwa haangalii Katiba, Nyote mtaufyata

Jambo la msingi ni kutengeneza kwanza watu waadilifu na taaisis zilizo imara kabla ya hiyo katiba yenyewe, kwasababu hata Katiba iwe nzuri kiasi gani tukija kupata Rais Dikteta ataikanyaga na mtaufyata mkia.

Rais Samia endelea kupiga kazi usiguse kabisa mambo ya Katiba hadi utapopata muhula wa pili wa urais.
Kwa katiba bora dikteta hata ikulu hatafika na akifika kwa bahati mbaya kama Trump hatafanya ushenzi wake
 
Jambo la msingi ni kutengeneza kwanza watu waadilifu na taaisis zilizo imara kabla ya hiyo katiba yenyewe, kwasababu hata Katiba iwe nzuri kiasi gani tukija kupata Rais Dikteta ataikanyaga na mtaufyata mkia.

Rais Samia endelea kupiga kazi usiguse kabisa mambo ya Katiba hadi utapopata muhula wa pili wa urais.
Mkiwa na demokrasia ya kweli dikiteta atapenya wapi? Labda demokrasia ile ya ccm ref. 2015, walivyoletewa mgombea.
 
Sijashauri kuachana na hiyo kitu, bali vuguvugu lenu mnataka kumuingiza Rais katika matakwa yenu watu wachache, Rais inaonesha kabisa ana nia njema na nchi yake na pia anaonekatana hayuko katika kupinga katiba mpya, hivyo tumpe muda bado ni mapema kumpa joto hilo.
Hiyo hiyo katiba ndiyo iliyompa nafasi aliyonayo. Watu walikaa chini kuiainisha wangehairisha huenda hata kipengere kilichompa uhalari wa kutawala kisingekuwepo.
 
Jambo la msingi ni kutengeneza kwanza watu waadilifu na taaisis zilizo imara kabla ya hiyo katiba yenyewe, kwasababu hata Katiba iwe nzuri kiasi gani tukija kupata Rais Dikteta ataikanyaga na mtaufyata mkia.

Rais Samia endelea kupiga kazi usiguse kabisa mambo ya Katiba hadi utapopata muhula wa pili wa urais.
wewe siyo mzima
 
Back
Top Bottom