Msikie Harmonize akiongea kiingereza! Ali Kiba ndo kashafunikwa tayari hivyo

Alexis Sanchez yupo London wakati Antonio Valencia yupo jiji la Manchester hao wote hawajui kiingereza na wanaishi na hao waingereza ila sisi tupo uku Mbagala Kimbangulile tunakaza mishipa ya shingo na iyo lugha wakati kiswahili tu hatajamudu kukiongea na kuandika kwa ufasaha
 
Usikariri wewe kiingereza kina staili nyingi jombaa "this much" ni sahihi kabisa au umezoea kuona "too much" english ya darasa la 3 ambayo hata giggy money anaijua..
Mkuu ajakosea ila kaponda af na ye kamix apo apo
 
Ikifika mwaka 2070 kutakuwa na lugha kuu tatu duniani. English, Spanish and Mandarin (Chinese).

Laazima ufahamu dunia inakokwenda. Wewe na Ali Kiba mnahitaji kufahamu hilo
(Why ar u so obsessed with me! Girl i wanna know!)
NI MANENO YA KIBA KWAKO MDADA!!!
 
Hii ndio wasafi bwana! Acha wao wabaki na mwimbaji mzuri Asiye na mafanikio.
 
Kuongea hiyo lugha ni kitu cha kawaida tu sasa sioni cha ajabu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…