Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Ni wewe ulimuuliza Jiwe swali akasema kwa kisukuma Mayalla ni njaaa kweli njaa mbayaWanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali
Acheni usanii bwana .Wanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali
Dah BAVICHA WANAKASIRIKAAA BALAAA HAPAAA MPOTO HOYEEEEEEEWanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali
Wanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali
Wanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali
Wanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali
Nakuunga mkono kabisa, Hata ukimwona kwa sasa ni tofauti kabisa na miaka kumi ya kikwete hasa kwenye saba saba.Mimi nilimuheshimu sana Pascal Mallaya.
Ila mzee pascal anazidi kuchanganyikiwa kila siku zinavyozidi kwenda.
Unafiki unamtesa na ile kura moja inamtesa sana.
UNATUHARIBIA VIJANA WA TANZANIA NA HUO UNAFIKI WAKO.
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.Wanabodi,
Kuna vitu vingine vya Magufuli alivyofanya, watu hawavijui, na sio vya kuhadithiwa, hebu msikilize mwenyewe huyu huyu Kibonge Mweusi ambaye ni 'Mrisho Mpoto' wa Coco Beach, bwana Benard Mwinuka, akituma salaam mahsus kwa JPM, wao pale Coco Beach, wanamwita Magufuli, Uncle Magu, sikiliza wana Coco Beach, wanasema nini kwa Magufuli na watamshukurije kwa alicho watendea?
Sikiza mwenyewe
Paskali