Umenena vyemaKwa ushauri wa Baba Mmoja ukitaka mali utaipata Shambani
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
wakataka na kauli, iwafae maishani.
Akatamka mgonjwa, ninaumwa kwelikweli,
hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali,
roho naona yachinjwa, kifo kina nikabili,
kama mnataka mali, mtayapata shambani.
Ufuta naona ndo habari kuu mjini sasa hivi kwahiyo kuna uwezekano wa soko kujaa bidhaa hi na bei kushuka Kwa sana.last year nilitupa fedha kibao shambani kulima viazi yaaniwakati wa mavuno linitaka kulia yaani soko tatizo kweli nuilipata hasara ila mavuni yalikuwa makubwaa sana,nilijaribu pia mifugo nikaambiwa nilishindwa kwa kuwa nilianza na mtaji mkubwa sana
mwaka huu nataka nizame kwenye ufuta nijaribu tena
jaribu kutafuta kama eka kumi sehemu zenye maji ulime ndizi za kupika.last year nilitupa fedha kibao shambani kulima viazi yaaniwakati wa mavuno linitaka kulia yaani soko tatizo kweli nuilipata hasara ila mavuni yalikuwa makubwaa sana,nilijaribu pia mifugo nikaambiwa nilishindwa kwa kuwa nilianza na mtaji mkubwa sana
mwaka huu nataka nizame kwenye ufuta nijaribu tena
jaribu kutafuta kama eka kumi sehemu zenye maji ulime ndizi za kupika.
unamaanisha banana wilt disease?. ni risk unaweza take.Nadhani hujasikia myauko