ssl
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 138
- 102
Miaka ya hivi karibuni watu wengi wanaona kilimo ni sehemu salama ya kutupa chini pesa zao ili zitoe faida kubwa. Je huu ni mwanzo wa mapinduzi makubwa ya kilimo cha Tanzania. Ukweli ni kwamba kilimo siyo shamba la bibi na ndo maana wanaokimbilia kulima tu wanaishia kulalama na kulia kwa kuzika pesa zao bila faida. Njooni tulime ila tuzingatie sana mahitaji ya soko na muda mzuri wa kulima zao husika.
Kama huna uelewa na mambo ya kilimo tafuta mtaalamu wa kilimo mlipe pesa kama consultant asimamie shamba lako mwanzo mwisho.
Kama huna uelewa na mambo ya kilimo tafuta mtaalamu wa kilimo mlipe pesa kama consultant asimamie shamba lako mwanzo mwisho.