Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amtetee katika hudumaa..
WanaJamvi naomba Uhakiki katika Usikilizaji. Amewaambia, hasa hapo mwishoni.
mungu mwenyewe anamshukuru Magufuli-Agrey Mwanri.
Haifunguki
Kuanzia Miaka 55(Hiari) mpaka 60 ila mmalaka ya uteuzi inaweza kukuongezea mudaNaomba kufahamu umri wa kustaafu wa wakuu wa Mikoa kisheria
Mwanri amestaafu Kwa Umri. Kama ulikuwa hujui amepitiliza miaka 60 ya umri wa kustaafu kama mtumishi.Huyo dingi katumbuliwa kiutuzima sana.
Alijitahidi sana kujipendekeza kwa jiwe, lakini akasahau mambo mawili makubwa, na hayo ndio yamemgharimu.
Kwa sasa ajipange kwenda tu kulima huko west Kilimanjaro, maana kinyang'anyiro cha ubunge huko Siha huenda kikawa ndio kaburi lake la kisiasa mwaka huu 2020.
Jamaa ni timu Membe ndio maana kaondolewa na si kustaafu kama taarifa ilivyosemwa sababu yeye ana 65 na aliemrithi ana 69. Asijiloge akaingia kwenye mchakato wa Ubunge heri hizo hela awekeze.Huyo dingi katumbuliwa kiutuzima sana.
Alijitahidi sana kujipendekeza kwa jiwe, lakini akasahau mambo mawili makubwa, na hayo ndio yamemgharimu.
Kwa sasa ajipange kwenda tu kulima huko west Kilimanjaro, maana kinyang'anyiro cha ubunge huko Siha huenda kikawa ndio kaburi lake la kisiasa mwaka huu 2020.