Msikilize Agrey Mwanri, mmoja ya binadamu wakweli

Msikilize Agrey Mwanri, mmoja ya binadamu wakweli

Huyo dingi katumbuliwa kiutuzima sana.
Alijitahidi sana kujipendekeza kwa jiwe, lakini akasahau mambo mawili makubwa, na hayo ndio yamemgharimu.

Kwa sasa ajipange kwenda tu kulima huko west Kilimanjaro, maana kinyang'anyiro cha ubunge huko Siha huenda kikawa ndio kaburi lake la kisiasa mwaka huu 2020.
Yaani mtu Ana miaka 64 unasema ametumbuliwa? Kufanya kwake kazi vyema kulimfanya Mh. Rais amuache na hakuruhusiwa kustaafu. Siku hizi ukifikisha tu miezi 3 kabla ya 60 yrs unakumbushwa kustaafu na hakuna kupitiliza. Mwanri aliruhusiwa kuendelea. Kabla hamjaandika nambo mengine ni bora mtu awe na data kabisa. Mwenzio amezaliwa 1956.
 
Jamaa ni timu Membe ndio maana kaondolewa na si kustaafu kama taarifa ilivyosemwa sababu yeye ana 65 na aliemrithi ana 69. Asijiloge akaingia kwenye mchakato wa Ubunge heri hizo hela awekeze.
Haswaaaaa..atulie tu bc
 
Yaani mtu Ana miaka 64 unasema ametumbuliwa? Kufanya kwake kazi vyema kulimfanya Mh. Rais amuache na hakuruhusiwa kustaafu. Siku hizi ukifikisha tu miezi 3 kabla ya 60 yrs unakumbushwa kustaafu na hakuna kupitiliza. Mwanri aliruhusiwa kuendelea. Kabla hamjaandika nambo mengine ni bora mtu awe na data kabisa. Mwenzio amezaliwa 1956.
Kwahiyo hajatumbuliwa?? Jiongeze weye
 
Huyo jamaa anaenda kugombea ubunge, ndo maana kastaafishwa ili arud kweye wizara Fulani
 
Huyo dingi katumbuliwa kiutuzima sana.
Alijitahidi sana kujipendekeza kwa jiwe, lakini akasahau mambo mawili makubwa, na hayo ndio yamemgharimu.

Kwa sasa ajipange kwenda tu kulima huko west Kilimanjaro, maana kinyang'anyiro cha ubunge huko Siha huenda kikawa ndio kaburi lake la kisiasa mwaka huu 2020.
Unaona raha gani kuongea uongo?
Kutumbuliwa kiutuzima ni kupi huko?
Cv ya Mwanri ipo wazi,mwaka wake wa kustaafu tayari
 
Unaona raha gani kuongea uongo?
Kutumbuliwa kiutuzima ni kupi huko?
Cv ya Mwanri ipo wazi,mwaka wake wa kustaafu tayari
Aliyeteuliwa kuchukua nafas yake ni mkubwa kiumri kuliko Mwanri...nayo unatuambiaje
 
Huyo dingi katumbuliwa kiutuzima sana.
Alijitahidi sana kujipendekeza kwa jiwe, lakini akasahau mambo mawili makubwa, na hayo ndio yamemgharimu.

Kwa sasa ajipange kwenda tu kulima huko west Kilimanjaro, maana kinyang'anyiro cha ubunge huko Siha huenda kikawa ndio kaburi lake la kisiasa mwaka huu 2020.
Aliomba kustaafu muda tu. Uliza kwa wsnaomjua huyu ni waziri wa baraza lijalo.
 
Ukiangalia wengi walioenguliwa kwenye nyadhifa zao ni ambao wameonyesha dalili za kutaka kugombea Ubunge, na mzee baba alishakataza hili la wateule wake kutaka au kuonyesha nia ya kugombea.
 
Huyo dingi katumbuliwa kiutuzima sana.
Alijitahidi sana kujipendekeza kwa jiwe, lakini akasahau mambo mawili makubwa, na hayo ndio yamemgharimu.

Kwa sasa ajipange kwenda tu kulima huko west Kilimanjaro, maana kinyang'anyiro cha ubunge huko Siha huenda kikawa ndio kaburi lake la kisiasa mwaka huu 2020.
Huyu atakuwa ameahidiwa uwaziri!
 
Back
Top Bottom