Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Kwahiyo ndio kunena mazito hayo kama thread inavyosema jamani mabaharia wenzangu mnaniangushaBaba Swalehe kasema eti amesema anaomba kazi bbc,
teh teh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ndio kunena mazito hayo kama thread inavyosema jamani mabaharia wenzangu mnaniangushaBaba Swalehe kasema eti amesema anaomba kazi bbc,
teh teh!
Bando kumbe ishuHahaahaha...
Ishu ya bundle kwakweli ni utata munoo...
Niongee mara ngapi ?Kwahiyo mpaka sasa hamna aliyeangalia jamani tujue kilichozungumzwa
Yes mwishon alimalizia na hayo manenoNimeangalia video, Harmonize anasema amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga.
Mwishoni mwishoni anasikika akisema nanhii na nanhii.Nimeangalia video, Harmonize anasema amesajiliwa na Coastal Union ya Tanga.
Kwahiyo mpaka sasa hamna aliyeangalia jamani tujue kilichozungumzwa
endelea kujifarijiHapa ndo nimegundua kumbe tunaotumia free basics(data ya bila malipo) tupo wengi
Niongee mara ngapi ?
MmhYes mwishon alimalizia na hayo maneno
Na akadai hawamlipi vizuri kama bbc wana ajira wamwajiri
Tuangalie pamoja wapiiiNjoo tuiangalia pamoja
Dah 😅kwa ambao hawajaingalia nawapa nzima nzima...
bwana konde anadai kuwa baunsa wake mudy mwamba kampa kichapo babu tale..
ni baada ya babu tale kumshika kalio mkewe sarah... hivyo anampongeza mudi mwamba..
za kuambiwa changanya na zako
Muunganishe kwenye sekta inayolipa ile mkuuLabda deni la mkataba ni kubwa mno
Na wewe shem ni baharia ?Kwahiyo ndio kunena mazito hayo kama thread inavyosema jamani mabaharia wenzangu mnaniangusha
Ndio shem baharia mwenzenu kidume cha mbeguNa wewe shem ni baharia ?
unambaharia nani mremboKwahiyo ndio kunena mazito hayo kama thread inavyosema jamani mabaharia wenzangu mnaniangusha
Nawabaharia maharia mkuuunambaharia nani mrembo
Unanitisha shemNdio shem baharia mwenzenu kidume cha mbegu
[emoji1787][emoji1787] Usiogoshe shemUnanitisha shem