Msikilize Lady Jaydee Ea radio akitoa msimamo juu ya kifo cha ngwair

Msikilize Lady Jaydee Ea radio akitoa msimamo juu ya kifo cha ngwair

Trance M

Senior Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
183
Reaction score
37
Tune sasa hivi umsikie Lady Jaydee akitoa msimamo wake juu ya msiba wa mwanamziki mwenzake Mangwair.

Hii inakuja baada ya Mwana FA kuahirisha shoo yake ya the Finest iliyokuwa ifanyike ijumaa 31/05/2013 baada ya msiba wa mangwair.
 
sasa s utwambie anachosema mkuu?
Just briefly plz...!
 
Tune sasa hivi umsikie Lady Jaydee akitoa msimamo wake juu ya msiba wa mwanamziki mwenzake Mangwair.

Hii inakuja baada ya Mwana FA kuahirisha shoo yake ya the Finest iliyokuwa ifanyike ijumaa 31/05/2013 baada ya msiba wa mangwair.

Anatoa msimamo juu ya msiba ama shoo yake?
 
Yani we mleta mada vipi? Utadhani tunasikia wote hiyo redio!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ameelezea kuwa Ngwair alikuwa mshkaji wake sana sbb alikuwa anapenda kujirusha na katika viwanja vyake amekuwa akikutana sana na Jide. Ameahirisha shoo yake hadi pale atakapotoa taarifa
 
Anashindwa kueleza analia. Kifupi ameeleza jinsi walivyokuwa karibu na Ngwair kimuziki na kutokana na msiba huu ameahirisha shoo yake ya ijumaa 31/05/2013 hadi pale atakapotangaza shoo tena
 
Aiseee sasaa Clouds walikuwa wamepata pa kutokea, amemua kuwafuata huko huko, walahi kazi ipo....!
RIP Kaobama....!
 
Anashindwa kueleza analia. Kifupi ameeleza jinsi walivyokuwa karibu na Ngwair kimuziki na kutokana na msiba huu ameahirisha shoo yake ya ijumaa 31/05/2013 hadi pale atakapotangaza shoo tena

Hapo amefanya jambo kubwa sana, big up Jide.
 
Kuna uhusiano gani au walikuwa na ukaribu gani na Ngwair? tusijekuwa tunapigana fix za kiutu uzima hapa.
 
Mtoa mada, siku nyingine ukiwa na habari kama hizi uwe unajitahidi kutupa updates za kinachoendelea japo kwa kifupi maa wengine tupo maeneo ambayo kituo ulichotaja hakisikiki wala hakijawahi sikika.
 
Ameelezea kuwa Ngwair alikuwa mshkaji wake sana sbb alikuwa anapenda kujirusha na katika viwanja vyake amekuwa akikutana sana na Jide. Ameahirisha shoo yake hadi pale atakapotoa taarifa

Hawa wasanii wasaidiane kuleana kimaadili ili waishi muda mrefu na watoto wa watoto wao waje kushuhudia mafanikio yao! Mambo ya kulia tu baada ya watu wao wa karibu ambao walijua maisha yao ni hatarishi na hawakuwasaidia wanapoaga dunia itaendelea kutokeo kama hawatajirekebisha! Life style za wasanii wazichunguze na wajirekebishe ni hatarishi kwa maisha hako!
 
Nilisoma sehemu kua ticket za shoo ya Lady Jaydee zimeisha! vipi kwa hao waliokata ticket je kuna matarajio ya kurudishiwa hela zao au?
 
Mtoa mada, siku nyingine ukiwa na habari kama hizi uwe unajitahidi kutupa updates za kinachoendelea japo kwa kifupi maa wengine tupo maeneo ambayo kituo ulichotaja hakisikiki wala hakijawahi sikika.

Mkuu hujajua tu kuwa watanzania wengi wanaoishi Dar huwa hawafikiri kuwa Tanzania ni zaidi ya Dar?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom