Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
carnal mindSasa kama Yesu yupo physically mwananchi akikutana naye physically kuna nongwa yoyote mkuu?
Hapana. Ni lafudhi ndiyo zinafamana ila niliingiza utani tu kusema sauti.Bado sijaelewa mkuu. Una maana watu wamecheza na AI?
Dini ya amani.Hii dini ya wenzetu inachezewa sana aisee.
Kuongra itakuwa ni kihindi... Hujaenda mbali. Wangeacha tu ili tuchanganye radha..Please admini naomba unisaidie kurekebisha tittle. Ni kuongea siokuongra.
Hawajawahi kushuhudia kwasababu mtume wao hakuwahi kusema kwamba atarudi.Ukiona shuhuda zinakuwa nyingi, ujue kuna ukweli 💯%. Mbona wenzetu hawajawahi kushuhudia kukutana live na mtume wao?
Wapi tulikwambia amefufuka? Au kuna aya umesoma kuwa mtume yuko hai hadi akutane na watu? Hata picha yake haipo.Ukiona shuhuda zinakuwa nyingi, ujue kuna ukweli 💯%. Mbona wenzetu hawajawahi kushuhudia kukutana live na mtume wao?
Ukiwa na ufahamu wa mwilini ni kazi sana kupata spiritual experiencecarnal mind
Kuhusu kama yupo au hayupo hai tuwasubiri wenyewe waje mkuu.Wapi tulikwambia amefufuka? Au kuna aya umesoma kuwa mtume yuko hai hadi akutane na watu? Hata picha yake haipo.
Maria mtakatifu mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.
Wenyewe Akina nani? Wewe lete aya. Qur'an imeshushwa na mwenyezi Mungu.Kuhusu kama yupo au hayupo hai tuwasubiri wenyewe waje mkuu.