chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichosema mzee wetu ni uongo?Acha kupamba mavi maua ww mtoto wa akilimali
Mzee Akili the brain huwa namwelewa sanaNawe msikilize mzee,ustadh Akilimali utaamini ninachosema
Nawaombea mpate japo kombe la shirikisho tu(TPL imeshakula kwenu), mkikosa hiyo mtavunjana meno hakikaHicho kizee kinajua wale watu wake waliotaka kuwekwa na TFF kwisha habari yao.
Mbona Waziri Mwakyembe kakubali hoja za Mkuchika?
Viongozi wote waliopo wamejiuzuru anataka apewe yeye?
Hatuwezi kukaa nyikani miaka mingi Kiongozi.Nawaombea mpate japo kombe la shirikisho tu(TPL imeshakula kwenu), mkikosa hiyo mtavunjana meno hakika
Hakuna jipya Kamanda. Kumbuka akina Bi. Hindu mwanzoni mwa mchakato wenu. Hao watakuwepo siku zote. Kikubwa, sio wao kama wao, wanatumiwa tu.Nimemsikiliza Akilimali,naona kuna kitu kinafukuta Yanga,jamani pambaneni kisilipuke. Kwani Try-Again na wenzie waliwezaje kufanikisha Simba
bangi sio nzuriHatuwezi kukaa nyikani miaka mingi Kiongozi.
TPL bado ipo mezani. Hata Azam bado yumo.
Mkuu unawapigia chura gitaa. Wanachoelewa ni bakora. Mpaka bakora zitembee ndio akili zitawarudi.Nimemsikiliza Akilimali,naona kuna kitu kinafukuta Yanga,jamani pambaneni kisilipuke. Kwani Try-Again na wenzie waliwezaje kufanikisha Simba
Hahahaha Daaah umenikumbusha Mbali akina Bi Hindu, mzee Kilomoni hata Julio hadi clip yake ninayo walikuwa wanapinga sana mfumo wakati ukisema tuichangie timu Laki moja moja kila mwaka hawana ila hawa wazee Sijui baraza la ushauri la wazee ni kuwafuta tuHakuna jipya Kamanda. Kumbuka akina Bi. Hindu mwanzoni mwa mchakato wenu. Hao watakuwepo siku zote. Kikubwa, sio wao kama wao, wanatumiwa tu.
Tuseme ukweli, Bi. Hindu au Mzee Akilimali wanaujua mfumo wa kampuni?
Umejua leo kwamba bangi sio nzuri?
YANGA wameyaishi maneno yako!Nawaombea mpate japo kombe la shirikisho tu(TPL imeshakula kwenu), mkikosa hiyo mtavunjana meno hakika
Umeyasikia malengo ya kocha wako zahera?Hatuwezi kukaa nyikani miaka mingi Kiongozi.
TPL bado ipo mezani. Hata Azam bado yumo.
Wewe na Akili simali ni kama tuwi la nazi na maziwaNawe msikilize mzee,ustadh Akilimali utaamini ninachosema
Reason kidogo tu. Timing ya usemi wake!Umeyasikia malengo ya kocha wako zahera?
Kivip mkuuWewe na Akili simali ni kama tuwi la nazi na maziwa
Kumbe amevuka malengo?Reason kidogo tu. Timing ya usemi wake!
Bado huja reason. Ulimsikia Ole Gunnar?Kumbe amevuka malengo?