Msikilize Papa naye anavyopenda vita

Msikilize Papa naye anavyopenda vita

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
1695574041325.png

Papa Francis ambaye ni kiongozi mkuu wa kanisa katoliki lenye makao yake makuu Vatican inaonekana ni mpenda vita sana.
Katika tamko lake hapo jana amesema kuna watu wanafanya mchezo na Ukraine.Hapo mwanzo wamewapa silaha na sasa wanazuia.
Tamko hilo limetafsiriwa kuwa linalenga moja kwa moja kwa nchi ya Poland pale hapo juzi waliposema kuanzia sasa hawatowapatia silaha tena Ukraine.
Katika siku za karibuni Poland ambayo mwanzo ilikuwa mshirika mkubwa wa Ukraine kwa kuipa kila aina ya misaada,sasa imebadili msimamo huo.
Pamoja na kusudio la kuinyima silaha Ukraine,Poland pia imesema haitaruhusu punje hata moja ya nafaka za Ukraine kuingia au kupita nchini mwake kuelekea nchi nyengine.
Zaidi ya hivyo waziri mkuu wa Poland naye amesema UKRAINE NI MFA MAJI ATAWAZAMISHA .Misimamo hii ya Poland inaonesha imemkasirisha kiongozi huyo wa katoliki kwani vita ama vitaisha au Ukraine itashindwa.

Pope hits out at Poland over weapons withdrawal

 
View attachment 2761024
Papa Francis ambaye ni kiongozi mkuu wa kanisa katoliki lenye makao yake makuu Vatican inaonekana ni mpenda vita sana.
Katika tamko lake hapo jana amesema kuna watu wanafanya mchezo na Ukraine.Hapo mwanzo wamewapa silaha na sasa wanazuia.
Tamko hilo limetafsiriwa kuwa linalenga moja kwa moja kwa nchi ya Poland pale hapo juzi waliposema kuanzia sasa hawatowapatia silaha tena Ukraine.
Katika siku za karibuni Poland ambayo mwanzo ilikuwa mshirika mkubwa wa Ukraine kwa kuipa kila aina ya misaada,sasa imebadili msimamo huo.
Pamoja na kusudio la kuinyima silaha Ukraine,Poland pia imesema haitaruhusu punje hata moja ya nafaka za Ukraine kuingia au kupita nchini mwake kuelekea nchi nyengine.
Zaidi ya hivyo waziri mkuu wa Poland naye amesema UKRAINE NI MFA MAJI ATAWAZAMISHA .Misimamo hii ya Poland inaonesha imemkasirisha kiongozi huyo wa katoliki kwani vita ama vitaisha au Ukraine itashindwa.

Pope hits out at Poland over weapons withdrawal

Yamekuwa hayo
 
Umetafsiri ulivyotaka wewe bila kuzingatia kiini cha kuongea.Huyo kila afanyalo ni habari.Shindana naye!
 
View attachment 2761024
Papa Francis ambaye ni kiongozi mkuu wa kanisa katoliki lenye makao yake makuu Vatican inaonekana ni mpenda vita sana.
Katika tamko lake hapo jana amesema kuna watu wanafanya mchezo na Ukraine.Hapo mwanzo wamewapa silaha na sasa wanazuia.
Tamko hilo limetafsiriwa kuwa linalenga moja kwa moja kwa nchi ya Poland pale hapo juzi waliposema kuanzia sasa hawatowapatia silaha tena Ukraine.
Katika siku za karibuni Poland ambayo mwanzo ilikuwa mshirika mkubwa wa Ukraine kwa kuipa kila aina ya misaada,sasa imebadili msimamo huo.
Pamoja na kusudio la kuinyima silaha Ukraine,Poland pia imesema haitaruhusu punje hata moja ya nafaka za Ukraine kuingia au kupita nchini mwake kuelekea nchi nyengine.
Zaidi ya hivyo waziri mkuu wa Poland naye amesema UKRAINE NI MFA MAJI ATAWAZAMISHA .Misimamo hii ya Poland inaonesha imemkasirisha kiongozi huyo wa katoliki kwani vita ama vitaisha au Ukraine itashindwa.

Pope hits out at Poland over weapons withdrawal

Ni kawaida kwa wakatoliki kupenda umwagikaji wa damu
 
Unaweza kudhani watu wajinga ni story za kufikirika kumbe kweli wapo.

Summary ya hiyo habari.
Kuna mataifa yanacheza na Ukraine = Ambacho ni kweli na yanafahamika.
Walikuwa wanawapa Silaha = Ambacho ni kweli.
Sasa hawawapi = kunakijibeef kipo, poland wamesema hawatotoa silaha.
( The only reason Poles wanaisupport Ukraine, ni Chuki waliyonayo kwa russia. Ila Ideologies zilizopo Ukraine saiv ndio zilipelekea mauaji ya poles kipindi cha WW2).

Alichokuwasilishia hapo ni kuwa Ukraine inatumika.
 
Kwamba kuna watu walimdanganya Ukraine kuingia vitani? Kumbe Ukraine ndiyo iliingia vitani na siyo Urusi.
 
Kila mtu na uraibu wake.Huyu mzee huenda anakaa kwenye runinga ofisini kwake akashangilia timu yake ikimchapa mpinzani wake.
Nampata jamaa alikuwaga mdau wangu wa viat kitambo jamaa ni mnyama lialia+mashetan wekundu
 
Back
Top Bottom