Msikiti wa Al Aqsa hauna muda mrefu utabomolewa na Israel

Msikiti wa Al Aqsa hauna muda mrefu utabomolewa na Israel

Msikiti hauwezi kubomolewa na yoyote kati ya Israel na Iran mana kila mmoja ana historia na huo msikiti

Wataouvunja huo msikiti wa Al Aqsa ni wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
 
Wanauvunja wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
Kuna vitu hawa ndugu zetu hawafikiri mbali
Nakuhakikishia israel wameshapata sababu ni swala la mda wanaupiga bomu wote
 
Wataouvunja huo msikiti wa Al Aqsa ni wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
Amka amka utajikojolea
 
Wataouvunja huo msikiti wa Al Aqsa ni wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
Unachekesha sana
 
Msikiti hauwezi kubomolewa na yoyote kati ya Israel na Iran mana kila mmoja ana historia na huo msikiti

Israel ina historia gani na huo msikiti, waupige bomu maana ndio chanzo cha kero ukanda huo.
 
Wataouvunja huo msikiti wa Al Aqsa ni wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
Wameshindwa Syria kule Assad anadunda kwa middle east ukitaka regime yako isurvive weka alliance na wairan basi kama Assad wa Syria mfano Saudia ufalme ukianguka basi saudia inakuwa chini ya iran kama iraq alivoanguka saddam na wairan walisaidia sasa hivi iraq ni proxy ya iran muiran ndio anacontrol na influence kubwa ndani ya iraq since 60% ya population ni washia kama wao mpaka kesho watu wanajuta kwa nini walimuangusha Saddam adui wa iran maana wameipa nguvu zaidi iran .
 
Muda wa kuubomoa huo bado ingawa siyo muda mrefu! Na si kwa namna hii tunavyodhani.
 
Wataouvunja huo msikiti wa Al Aqsa ni wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
tusishangilie hii hali! itatuletea athari kubwa sana! tujandae mafuta kufka elfu 10 kwa lita
 
Wataouvunja huo msikiti wa Al Aqsa ni wayahudi wenyewe wanajifanya mabomu ya Iran ndio yameshambulia na kuvunja.

Halafu wanaanza battle ya kuifuta iran na mwarabu yeyote atakayeingilia..

Saudi arabia akijichanganya akaingilia wanaifuta na makka na madina zote kisha saudi arabia wanamuweka mtawala mpyaa.. kama walivyofanya kwa Ghadaffi na Saddam Hussein
Humu kumbe wengi hamna uelewa wa mambo ya middle east.

Marekani ina military base Saudi Arabia, Marekani ni mshirika wa Saudi Arabia na Saudi Arabia ni adui wa Iran, mnalifahamu hili?

Saudi Arabia anaanzaje kuishambulia Israel ulisikia lini?
 
Back
Top Bottom