Msimamizi wa Mirathi si lazima jina lake liwemo kwenye mgao miradhi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Your browser is not able to display this video.
Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria anaeleza namna ambavyo siku hizi wasimamizi wa mirathi ambao hawapo kwenye mirathi wanavyodhulumu wahusika haki zao kisa yeye anasimamia mirathi.


Sheria ya Ndoa haiongelei mahari
"Kimila ndoa ni suala la utamaduni, kisheria ndoa haiongelei suala la mahari" Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Katiba na Sheria.

Your browser is not able to display this video.

Chanzo: Jahazi (Clouds FM)
 
Ndo maana msimamizi anatakiwa awe mmoja wa wanufaika au familia nzima
 
Watu wengi wana gushi Mirathi kwa sababu hata wakijulikana kua wamegushi hawachukuliwi hatua Kali, inabidi adhabu iwe Kali ili iwe fundisho kwa wengine! Kesi nyingi za Mirathi zina forgery sana na zinaendeshwa kimadai badala ya kijinai!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…