infor
New Member
- Sep 18, 2024
- 2
- 5
Anahitajika kijana mwenye ujuzi na elimu ya masuala ya biashara hususani kwenye sekta ya miamala ya benki na simu.
MAJUKUMU
-Kusimamia ofisi inayojishughulisha na masuala ya huduma za fedha (Financial services)
-Kuandaa ripoti na hesabu za ofisi
-Kubuni na kuteleza mikakati ya kuipanua na kkukuza biashara
SIFA
Elimu: Kidato cha 4 au 6 na awe na cheti au diploma kwenye masuala ya biashara au uhasibu
Umri: Awe na miaka kuanzia 18 - 30
Jinsia: Awe wa kike au kiume
Mahali: Dar
Uzoefu: Awe mwaminifu, Ajue kutumia computer hasa program ya word na excel, awe na uzoefu usiopungua miezi 6 kwenye sekta ya masuala ya miamala ya benki na simu
Mawasiliano: Usipige simu, tuma maombi kwa njia ya WhatsApp namba 0769 022 562
Mshahara: Kianzio sh 200K/mwezi. ofisi inatoa huduma ya chakula cha mchana, malazi na makazi
Maombi, CV, Vyeti vitumwe kwenye namba hii.
Please share in groups!
Karibu sana!
MAJUKUMU
-Kusimamia ofisi inayojishughulisha na masuala ya huduma za fedha (Financial services)
-Kuandaa ripoti na hesabu za ofisi
-Kubuni na kuteleza mikakati ya kuipanua na kkukuza biashara
SIFA
Elimu: Kidato cha 4 au 6 na awe na cheti au diploma kwenye masuala ya biashara au uhasibu
Umri: Awe na miaka kuanzia 18 - 30
Jinsia: Awe wa kike au kiume
Mahali: Dar
Uzoefu: Awe mwaminifu, Ajue kutumia computer hasa program ya word na excel, awe na uzoefu usiopungua miezi 6 kwenye sekta ya masuala ya miamala ya benki na simu
Mawasiliano: Usipige simu, tuma maombi kwa njia ya WhatsApp namba 0769 022 562
Mshahara: Kianzio sh 200K/mwezi. ofisi inatoa huduma ya chakula cha mchana, malazi na makazi
Maombi, CV, Vyeti vitumwe kwenye namba hii.
Please share in groups!
Karibu sana!