HONDA XL
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 138
- 115
shamba lina kilimo na ufugaji. kilimo ni mahindi, alizeti na mpunga, mifugo ni ng'ombe na mbuzi.
makazi ni shambani hapo hapo.
shamba liko kigoma
wafanyakazi waliopo shambani kati ya 20 hadi 30.
kwa mwenye uzoefu wa usimamizi mashamba makubwa
akiwa na taaluma ya kilimo na mifugo au Agro mechanization anakaribishwa
tuwasiliane
WhatsApp 0622 76 96 60
makazi ni shambani hapo hapo.
shamba liko kigoma
wafanyakazi waliopo shambani kati ya 20 hadi 30.
kwa mwenye uzoefu wa usimamizi mashamba makubwa
akiwa na taaluma ya kilimo na mifugo au Agro mechanization anakaribishwa
tuwasiliane
WhatsApp 0622 76 96 60