Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Neno hili likapate kuwa kweliKundi lipo wazi yoyote anaweza fuzu hasa wanaomalizia nyumbani, kwani mashabiki ni mchezaji wa 12.
Nimefurahi sana kwa AS Vita kufungwa. Kwa maana hiyo Saoura Mechi yao na simba itakuwa ngumu sana kama kwa Al Ahly na AS Vita. Hili kundi inawezekana mechi zinazofuata ndiyo zitaamua nani anakwenda na nani anabaki.
Bado mnakibarua kigumu sana, so msijipe moyo!
Vivaa Wydad Casablanca
Mwenyez Mungu awe naweHadi mechi za 5 points zitakua
Js saoura 8
Al Ahly 7
As Vita 7
Simba 6
Mechi za mzunguko wa 6 points zitakua
Al Ahly 10
Simba 9
Js saoura 8
As Vita 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi mechi za 5 points zitakua
Js saoura 8
Al Ahly 7
As Vita 7
Simba 6
Mechi za mzunguko wa 6 points zitakua
Al Ahly 10
Simba 9
Js saoura 8
As Vita 7
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewaza vizur Ila As Vita kwao hafungwi hamna hamna suluhuMara paaap, Al Ahyl kamfunga Vital congo halafu JS Soura katoa sare na Al Ahyl kule Misri na kufanya mambo yawe hivi:
Al Ahyl 11
Js Saoura 9
Simba 9
As vital 4
hili kundi halitabiliki kwasababu sio timu zote zinaweza zikapata matokeo kwenye viwanja vyao vya nyumbani. Rejea Vital vs Saoura na Saoura vs Al Ahyl. Hili kundi la kifo timu zote nne kila mmoja wapo anaweza kutinga robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mnaidadi ya goli kumi mlikuwa kimyaa,haya tutayaona maana mmesifiwa kukimbia mmepitiliza mpaka kwenuna hili liwe fundisho kwa baadhi ya wahuni walojificha kwenye kichaka cha uchambuzi baada ya kuishi kwa kutumia ule msemo maarufu wa "mjini shule"
cc; Shaffi Dauda
Mpira wa Africa sio sahihi Sana kutumia neno underdog maana sisi mpira bado ndomana haiwezekan ulaya timu ifungwe 8-0 halafu mechi ya pili itoe hata sare, au timu ipigwe 5-0 halafu mechi ya nyumbani timu iliyoshinda 5 inafungwa Tena kwakuzidiwa, Simba Kama kule wanaotumia neno underdog kwa usahihi ni timu Kama macabi Tel Aviv ya Israel iingie kundi la UEFA na
Madrid
Arsenal
Lyon
Kwenye kundi Kama Hilo macabi atafungwa mechi zote Ila kwa Africa Mambo ni tofauti ndomana unaona Simba anashinda mechi za nyumbani ingawa anafungwa ugenini
Angalia hata final zetu za klabu bingwa Africa na kombe la shirikisho mechi ya Kwanza na ya pili inavyokuaga...unakuta kila timu inashinda kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, underdog sio mbwa koko. Ni neno la kizungu kumaanisha ktk waliopo ktk kundi fulani, mwenye nafasi ndogo ya kusonga kutokana na viwango na uzoefu wa wengine ndiye underdog. Na ukweli ni kwamba ktk hizo 16 bora Simba ni underdog. Underdog akoshinda huwa ni surprise ila huwa wanashinda.
Mimi ni simba damu ila natambua kundi letu sisi ndio underdog ila we are defying the odds.