Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kundi D limeonekena kuwa Gumu sana. Kwanza lila timu mbili zilizofika fainali za Afrika mwaka 2018.
Pia hadi sasa baada ya mechi nne kila timu bado inanafasi ya kuingia robo fainali.
Hata pointi zao baada ya mechi nne zanapisha pointi mojamoja
Al-Ahly point 7
Simba point 6
JS Saoira point 5
AS Vita point 4
Hata hao waliofika fainali mwaka wa jana hhawana uhakika bado wa kingia hatua ya robo fainali hadi sasa. Mmoja wapo anashika nafasi ya mwisho.
Hili kundi ndio kindi gumu zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hadi sasa baada ya mechi nne kila timu bado inanafasi ya kuingia robo fainali.
Hata pointi zao baada ya mechi nne zanapisha pointi mojamoja
Al-Ahly point 7
Simba point 6
JS Saoira point 5
AS Vita point 4
Hata hao waliofika fainali mwaka wa jana hhawana uhakika bado wa kingia hatua ya robo fainali hadi sasa. Mmoja wapo anashika nafasi ya mwisho.
Hili kundi ndio kindi gumu zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app