ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
We jifariji tu...maana hakuna namna..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaUfuatao ni msimamo wa Ligi itakavyotamatika 2022/2023
1. Simba
2. Azam
2. Yanga
4. Geita gold
5. Singida Big stars
6. Namungo
7. Coastal union
8. Kagera sugar
9. Polisi Tz
10 KMC
11. Kagera
12. Mbeya city
13. Dodoma Jiji
14. Ruvu shooting
15. Tanzania Prisons
16...........
Azam na Yanga wapo nafasi ya pili kwa kuwa watalingana points na magoli.
Nasubiri Povu mie
Unazungumzia Diara yupi?Utabiri ni kitu kizuri sana ila uhalisia ni kitu kizuri zaidi, hivi kwa usajili wa Yanga unavyotisha kuna timu gani hapa bongo itaweza kupata hata goli tu langoni kwa Diarra anaedaka mishale, risasi, mabomu, makombora, na mawe.
Ni vizuri Makolo FC mkijifariji kuanzia mwanzo wa msimu ili msiumize roho na mioyo yenu huko mbele ambako mtakuja kusema "kwanza kombe lenyewe baya" hatulitaki!!
Wewe kweli mzugaji,Diarra huyu kwenye mechi nne zilizopita amefungwa jumla ya magoli saba,msimu huu atapasuliwa sana hiyo hirizi yake imekwisha expire.Utabiri ni kitu kizuri sana ila uhalisia ni kitu kizuri zaidi, hivi kwa usajili wa Yanga unavyotisha kuna timu gani hapa bongo itaweza kupata hata goli tu langoni kwa Diarra anaedaka mishale, risasi, mabomu, makombora, na mawe.
Ni vizuri Makolo FC mkijifariji kuanzia mwanzo wa msimu ili msiumize roho na mioyo yenu huko mbele ambako mtakuja kusema "kwanza kombe lenyewe baya" hatulitaki!!
Hii kauli uitoe mwakani 2023 ligi inapoishaMpaka sasa sijakosea popote.... Hebu rejea msimamo wa ligi
SAWA, TUTAFUKUA KABURIWala sina haja ya kusubiri ligi iishe. Ndio nimeshasema
| Position | Team | GP | W | D | L | GF | GA | GD | Pts | Form | PPG | last 8 | CS | FTS |
| 1 | Young Africans | 17 | 14 | 2 | 1 | 33 | 8 | 25 | 44 | 2.6 | 2.63 | 65% | 0% | |
| 2 | Simba | 16 | 11 | 4 | 1 | 36 | 7 | 29 | 37 | 2.3 | 2.5 | 62% | 6% | |
| 3 | Azam | 16 | 11 | 3 | 2 | 24 | 15 | 9 | 36 | 2.3 | 2.75 | 44% | 6% | |
| 4 | Singida Big Sta | 16 | 9 | 3 | 4 | 18 | 13 | 5 | 30 | 1.9 | 2 | 44% | 19% | |
| 5 | Mtibwa Sugar | 17 | 6 | 6 | 5 | 22 | 26 | -4 | 24 | 1.4 | 1.13 | 24% | 29% | |
| 6 | Kagera Sugar | 16 | 6 | 4 | 6 | 17 | 17 | 0 | 22 | 1.4 | 1.75 | 38% | 25% | |
| 7 | Geita Gold | 16 | 5 | 7 | 4 | 17 | 21 | -4 | 22 | 1.4 | 1.5 | 19% | 38% | |
| 8 | Mbeya City | 16 | 4 | 8 | 4 | 21 | 20 | 1 | 20 | 1.3 | 1 | 12% | 19% | |
| 9 | KMC | 16 | 4 | 7 | 5 | 14 | 15 | -1 | 19 | 1.2 | 0.75 | 25% | 44% | |
| 10 | Namungo | 16 | 5 | 4 | 7 | 12 | 17 | -5 | 19 | 1.2 | 0.63 | 31% | 38% | |
| 11 | Dodoma Jiji | 16 | 5 | 3 | 8 | 12 | 20 | -8 | 18 | 1.1 | 1.63 | 25% | 44% | |
| 12 | T. Prisons | 16 | 3 | 6 | 7 | 12 | 17 | -5 | 15 | 0.9 | 0.38 | 25% | 44% | |
| 13 | Coastal Union | 17 | 4 | 3 | 10 | 14 | 23 | -9 | 15 | 0.9 | 0.38 | 29% | 47% | |
| 14 | Ihefu | 16 | 4 | 2 | 10 | 13 | 19 | -6 | 14 | 0.9 | 1.13 | 12% | 44% | |
| 15 | Ruvu Shooting | 17 | 3 | 3 | 11 | 10 | 22 | -12 | 12 | 0.7 | 0.25 | 24% | 47% | |
| 16 | Polisi Tanzania | 16 | 2 | 3 | 11 | 11 | 26 | -15 | 9 | 0.6 | 0.5 | 12% | 44% |
Hii Yanga inataka kuwa Bingwa wa Ligi kuu, kwa miaka mingapi mfululizo? Mbona inaanza kuniogopesha!!Naomba modereta aweke table kama hii pale mbele halafu iwe inakuwa updated kadri mchezo unavyoendelea.
Position Team GP W D L GF GA GD Pts Form PPG last 8 CS FTS 1 Young Africans 17 14 2 1 33 8 25 44 2.6 2.63 65% 0% 2 Simba 16 11 4 1 36 7 29 37 2.3 2.5 62% 6% 3 Azam 16 11 3 2 24 15 9 36 2.3 2.75 44% 6% 4 Singida Big Sta 16 9 3 4 18 13 5 30 1.9 2 44% 19% 5 Mtibwa Sugar 17 6 6 5 22 26 -4 24 1.4 1.13 24% 29% 6 Kagera Sugar 16 6 4 6 17 17 0 22 1.4 1.75 38% 25% 7 Geita Gold 16 5 7 4 17 21 -4 22 1.4 1.5 19% 38% 8 Mbeya City 16 4 8 4 21 20 1 20 1.3 1 12% 19% 9 KMC 16 4 7 5 14 15 -1 19 1.2 0.75 25% 44% 10 Namungo 16 5 4 7 12 17 -5 19 1.2 0.63 31% 38% 11 Dodoma Jiji 16 5 3 8 12 20 -8 18 1.1 1.63 25% 44% 12 T. Prisons 16 3 6 7 12 17 -5 15 0.9 0.38 25% 44% 13 Coastal Union 17 4 3 10 14 23 -9 15 0.9 0.38 29% 47% 14 Ihefu 16 4 2 10 13 19 -6 14 0.9 1.13 12% 44% 15 Ruvu Shooting 17 3 3 11 10 22 -12 12 0.7 0.25 24% 47% 16 Polisi Tanzania 16 2 3 11 11 26 -15 9 0.6 0.5 12% 44%
Mpk sasa anaongoza kwa kuchomwa na mishale 😀 😀 😀Utabiri ni kitu kizuri sana ila uhalisia ni kitu kizuri zaidi, hivi kwa usajili wa Yanga unavyotisha kuna timu gani hapa bongo itaweza kupata hata goli tu langoni kwa Diarra anaedaka mishale, risasi, mabomu, makombora, na mawe.
Ni vizuri Makolo FC mkijifariji kuanzia mwanzo wa msimu ili msiumize roho na mioyo yenu huko mbele ambako mtakuja kusema "kwanza kombe lenyewe baya" hatulitaki!!m
Ha ha haMpk sasa anaongoza kwa kuchomwa na mishale 😀 😀 😀
Hapo chini umepuyanga kwa yanga hii hii ya jezi nyeusi? Uwaite hao ulowataja? Kama alhilal iliwahenyesha sembuse hao...acha utani bwanaHa ha ha
We jamaa utakufa na tai shingoni! Diarra hakuna kipa wa kumlinganisha duniani, Yanga si mchezo COASTAL UNION ni wabishi ila wamekula 3 bila majibu, Yanga ya moto sana now hata wakija Argentina na Messi wao au France na Mbappe sijui Brazil ama Morocco si tunapiga tu. Simba ndo asusa yetu for now!!
Al Hilal hawaiwezi Yanga dunia nzima inajua na wao wanajua na hata Simba wanajua!Hapo chini umepuyanga kwa yanga hii hii ya jezi nyeusi? Uwaite hao ulowataja? Kama alhilal iliwahenyesha sembuse hao...acha utani bwana