Msimamo NBC Premier League 2022/2023

Msimamo NBC Premier League 2022/2023

Ufuatao ni msimamo wa Ligi itakavyotamatika 2022/2023

1. Simba
2. Azam
2. Yanga
4. Geita gold
5. Singida Big stars
6. Namungo
7. Coastal union
8. Kagera sugar
9. Polisi Tz
10 KMC
11. Kagera
12. Mbeya city
13. Dodoma Jiji
14. Ruvu shooting
15. Tanzania Prisons
16...........

Azam na Yanga wapo nafasi ya pili kwa kuwa watalingana points na magoli.
Nasubiri Povu mie
Pole sana
 
Utabiri ni kitu kizuri sana ila uhalisia ni kitu kizuri zaidi, hivi kwa usajili wa Yanga unavyotisha kuna timu gani hapa bongo itaweza kupata hata goli tu langoni kwa Diarra anaedaka mishale, risasi, mabomu, makombora, na mawe.
Ni vizuri Makolo FC mkijifariji kuanzia mwanzo wa msimu ili msiumize roho na mioyo yenu huko mbele ambako mtakuja kusema "kwanza kombe lenyewe baya" hatulitaki!!
Unazungumzia Diara yupi?
 
Utabiri ni kitu kizuri sana ila uhalisia ni kitu kizuri zaidi, hivi kwa usajili wa Yanga unavyotisha kuna timu gani hapa bongo itaweza kupata hata goli tu langoni kwa Diarra anaedaka mishale, risasi, mabomu, makombora, na mawe.
Ni vizuri Makolo FC mkijifariji kuanzia mwanzo wa msimu ili msiumize roho na mioyo yenu huko mbele ambako mtakuja kusema "kwanza kombe lenyewe baya" hatulitaki!!
Wewe kweli mzugaji,Diarra huyu kwenye mechi nne zilizopita amefungwa jumla ya magoli saba,msimu huu atapasuliwa sana hiyo hirizi yake imekwisha expire.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Naomba modereta aweke table kama hii pale mbele halafu iwe inakuwa updated kadri mchezo unavyoendelea.
PositionTeamGPWDLGFGAGDPtsFormPPGlast 8CSFTS
1 Young Africans 17142133825442.62.6365%0%
2 Simba 16114136729372.32.562%6%
3 Azam 16113224159362.32.7544%6%
4 Singida Big Sta 1693418135301.9244%19%
5 Mtibwa Sugar 176652226-4241.41.1324%29%
6 Kagera Sugar 1664617170221.41.7538%25%
7 Geita Gold 165741721-4221.41.519%38%
8 Mbeya City 1648421201201.3112%19%
9 KMC 164751415-1191.20.7525%44%
10 Namungo 165471217-5191.20.6331%38%
11 Dodoma Jiji 165381220-8181.11.6325%44%
12 T. Prisons 163671217-5150.90.3825%44%
13 Coastal Union 1743101423-9150.90.3829%47%
14 Ihefu 1642101319-6140.91.1312%44%
15 Ruvu Shooting 1733111022-12120.70.2524%47%
16 Polisi Tanzania 1623111126-1590.60.512%44%
 
Naomba modereta aweke table kama hii pale mbele halafu iwe inakuwa updated kadri mchezo unavyoendelea.
PositionTeamGPWDLGFGAGDPtsFormPPGlast 8CSFTS
1Young Africans17142133825442.62.6365%0%
2Simba16114136729372.32.562%6%
3Azam16113224159362.32.7544%6%
4Singida Big Sta1693418135301.9244%19%
5Mtibwa Sugar176652226-4241.41.1324%29%
6Kagera Sugar1664617170221.41.7538%25%
7Geita Gold165741721-4221.41.519%38%
8Mbeya City1648421201201.3112%19%
9KMC164751415-1191.20.7525%44%
10Namungo165471217-5191.20.6331%38%
11Dodoma Jiji165381220-8181.11.6325%44%
12T. Prisons163671217-5150.90.3825%44%
13Coastal Union1743101423-9150.90.3829%47%
14Ihefu1642101319-6140.91.1312%44%
15Ruvu Shooting1733111022-12120.70.2524%47%
16Polisi Tanzania1623111126-1590.60.512%44%
Hii Yanga inataka kuwa Bingwa wa Ligi kuu, kwa miaka mingapi mfululizo? Mbona inaanza kuniogopesha!!
 
Utabiri ni kitu kizuri sana ila uhalisia ni kitu kizuri zaidi, hivi kwa usajili wa Yanga unavyotisha kuna timu gani hapa bongo itaweza kupata hata goli tu langoni kwa Diarra anaedaka mishale, risasi, mabomu, makombora, na mawe.
Ni vizuri Makolo FC mkijifariji kuanzia mwanzo wa msimu ili msiumize roho na mioyo yenu huko mbele ambako mtakuja kusema "kwanza kombe lenyewe baya" hatulitaki!!m
Mpk sasa anaongoza kwa kuchomwa na mishale 😀 😀 😀
 
Mpk sasa anaongoza kwa kuchomwa na mishale 😀 😀 😀
Ha ha ha
We jamaa utakufa na tai shingoni! Diarra hakuna kipa wa kumlinganisha duniani, Yanga si mchezo COASTAL UNION ni wabishi ila wamekula 3 bila majibu, Yanga ya moto sana now hata wakija Argentina na Messi wao au France na Mbappe sijui Brazil ama Morocco si tunapiga tu. Simba ndo asusa yetu for now!!
 
Ha ha ha
We jamaa utakufa na tai shingoni! Diarra hakuna kipa wa kumlinganisha duniani, Yanga si mchezo COASTAL UNION ni wabishi ila wamekula 3 bila majibu, Yanga ya moto sana now hata wakija Argentina na Messi wao au France na Mbappe sijui Brazil ama Morocco si tunapiga tu. Simba ndo asusa yetu for now!!
Hapo chini umepuyanga kwa yanga hii hii ya jezi nyeusi? Uwaite hao ulowataja? Kama alhilal iliwahenyesha sembuse hao...acha utani bwana
 
.................latest
1671649373239.png
 
Hapo chini umepuyanga kwa yanga hii hii ya jezi nyeusi? Uwaite hao ulowataja? Kama alhilal iliwahenyesha sembuse hao...acha utani bwana
Al Hilal hawaiwezi Yanga dunia nzima inajua na wao wanajua na hata Simba wanajua!

Al Hilal wanahitaji ligi yao maana wao hawachezi soccer bali mchezo wa kujiangusha na kubebwa na machela! Ni aibu sana

Yanga hawakuruhusiwa kucheza maana jamaa walijiangusha kwa dakika 90. Huwezi kutumia Al Hilal kama kipimo cha uwezo wa Yanga
 
Back
Top Bottom