Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Ukweli mchunguKwa vile timu nne za kwanza zote zimecheza mechi 10, basi msimamo utakuwa hivyo hadi siku ya mwisho. Mshindi atakuwa Simba, hivyo Yanga wametelemshwa kuwa wa pili. Simba inafunga mabao mengi sana wakati Yanga wanajikongoja kwa bao moja moja ama la penalty au la bahati bahati tu. Bila kubadilika Yanga imekwisha. Kadri siku zinavyokwenda Simba inaimarika wakati Yanga inadorora.
Mbona kama makasiriko🤷🏽♂️😂😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️Mke wetu katushikia nafasi hapo juu
Msimamo Wa Ligi Kuu Baada Ya Mchezo Wa Leo
Jitambulishe Kwa Emoji Moja Hapa Ya Nafasi Ya Timu Unayoishabikia ⤵️View attachment 3146455
Kuwa na adabu mmetoa dyudyu leo kwa mara ya piliMke wetu katushikia nafasi hapo juu
zote takataka. Nimemaliza!Msimamo Wa Ligi Kuu Baada Ya Mchezo Wa Leo
Jitambulishe Kwa Emoji Moja Hapa Ya Nafasi Ya Timu Unayoishabikia ⤵️View attachment 3146455