Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kulingana na mawazo ya wachambuzi wengi mashuhuri, wametabiri namna msimamo utakavyokuwa msimu ujao
Wakiongozwa na Shaffih Dauda. Na wengine akiwemo Ally Mayai Tembele..
1: Yanga
2: Azam
3: Geita
4: Singida big stars
5: Namungo
6: Mbeya city
7: Coastal Union.
13: simba
Je msimamo wako juu ya team za ligi kuu msimu ujao ni upi?
Je unapingana na maoni haya ya wachambuzi mashuhuri?
Tupia yako.
Wakiongozwa na Shaffih Dauda. Na wengine akiwemo Ally Mayai Tembele..
1: Yanga
2: Azam
3: Geita
4: Singida big stars
5: Namungo
6: Mbeya city
7: Coastal Union.
13: simba
Je msimamo wako juu ya team za ligi kuu msimu ujao ni upi?
Je unapingana na maoni haya ya wachambuzi mashuhuri?
Tupia yako.