Msimamo wa ligi ya NBC kwa Timu 7 za juu Leo 6/03/2024

Msimamo wa ligi ya NBC kwa Timu 7 za juu Leo 6/03/2024

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Screenshot_20240306-205517.jpg
 
Daah utofauti wa Mechi ukiwa mkubwa kama hivi wahuni wanapanga matokeo Timu moja ina mechi 20 ingine 16 hata kama wapo kwenye makombe ya CAF utofauti ni mkubwa sana bora hiyo ya mechi 20 ingesubiri kwanza..
 
Bodi ya ligi waache kuzidekeza timu za kariako asee!! Haiwezekani timu ziwe na viporo 4 na bado timu zingine zinaendelea kucheza... Yanga, Simba wamalize viporo vyao kabla ya kuanza robo fainal ya CAF. Hii ni hatari Kuna upangaji wa matokeo huko mbeleni.
 
Watakuja na maviporo yao huko na mbeleko za kutosha shinda viporo vyote!...upumbavu mtupu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Cha msingi Azam ashinde game zake
Mechi na prison karudisha baada ya kuteseka sana mechi na coastal karudisha yeye mechi ya Tabora vivyo hivyo Azam hana mbinu
 
Daah utofauti wa Mechi ukiwa mkubwa kama hivi wahuni wanapanga matokeo Timu moja ina mechi 20 ingine 16 hata kama wapo kwenye makombe ya CAF utofauti ni mkubwa sana bora hiyo ya mechi 20 ingesubiri kwanza..
Bodi ya ligi waache kuzidekeza timu za kariako asee!! Haiwezekani timu ziwe na viporo 4 na bado timu zingine zinaendelea kucheza... Yanga, Simba wamalize viporo vyao kabla ya kuanza robo fainal ya CAF. Hii ni hatari Kuna upangaji wa matokeo huko mbeleni.
Logistics za mpira wa Afrika kwa ngazi za vilabu sio rahisi kama mnavyofikiria, ni kweli kuna viporo vya uzembe mfano mapumziko mafupi kuelekea mechi za kimataifa kumekuwa na ujinga wa kusimamisha michezo ya Yanga na Simba bila ssb za msingi weekend ya mwisho ili wachezaji wajiunge na timu ya taifa rejea mwezi wa 12 mwaka jana.

Kuhusu viporo vingine sioni tatizo ratiba sio rafiki, huwezi kuwapangia mechi kati kati ya wiki Yanga na Simba wakienda kucheza nje ya nchi michezo ya kimataifa. Al Ahly ana viporo 8 dhidi ya mtu anayeongoza ligi nchi kwao ENPP1, wakati Mamelodi Sundowns ana viporo 3. Ukiangalia vizuri sana utagundua timu zote zilizokuwa zinashiriki michuano ya CAF zilikuwa na viporo 3 kwa wastani mpaka walipokuwa wanamalizia mechi ya mwisho ya makundi. Kiporo cha uzembe ni kile kimoja tu cha ku-cancel games mwezi wa 12 mwishoni ili wachezaji waende timu ya taifa hivyo vitatu ni mechi za away group stage.
 
Back
Top Bottom