GK3087
JF-Expert Member
- Sep 16, 2018
- 249
- 258
Nianze kwa kuwapa pole mashabiki wote wa timu za Kariakoo. Kiufupi kwa jinsi msimamo wa makundi ulivyo kwa wote Simba na Yanga, niwambie tu muda wa kuchekana bado.
Muhimu: Yanga asipoingia robo fainali mwaka huu wa kulaumiwa ni kamati yao ya ufundi " Nje ya uwanja" ile mechi ya kwanza na Wasudani kuna namna walifeli.
Simba asipoingia robo fainali mwaka huu, wakulaumiwa ni yule mgawa utamu wao wa Tunisia jina lake "Faxen" maana yeye kila anaepita mbele yake yeye ni kupanua tu hata kama huna kinga wee weka tu.
Yangu ni hayo, tukutane 19/01/2025 saa 22:00.
Muhimu: Yanga asipoingia robo fainali mwaka huu wa kulaumiwa ni kamati yao ya ufundi " Nje ya uwanja" ile mechi ya kwanza na Wasudani kuna namna walifeli.
Simba asipoingia robo fainali mwaka huu, wakulaumiwa ni yule mgawa utamu wao wa Tunisia jina lake "Faxen" maana yeye kila anaepita mbele yake yeye ni kupanua tu hata kama huna kinga wee weka tu.
Yangu ni hayo, tukutane 19/01/2025 saa 22:00.