Msimamo wa Olimpik mpaka mchana wa leo

Wengi wanazingatia zaid medal ya dhahabu
Kwenye rekodi za Olimpiki, medali yoyote kati ya zile tatu huipa nchi pointi na heshima yake...

Mfano jana, kuna bwana mdogo kutoka Burkina Faso amekuwa mtu wa kwanza toka Afrika kushinda medali ya Olimpiki kwenye mchezo wa kuruka umbali mrefu "long jump"...

Pamoja na kwamba alishinda medali ya shaba, lakini historia imeshaanza mtambua kama nilivyoandika juu hapo...
 
Na kwa nin namba moja kawekwa China mwenye medal nying za dhahabu ingawaje kiujumla wa medal anaongoza us kawekwa namb mbil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…