pashamwendo
Member
- Mar 11, 2017
- 88
- 40
Vipi hapa umeongea kinyagwata nn mbona sijakuelewa msaada please WA kutafsiriHivi Hawa mikia wameo nye seeha video ya af lion wakati huyo mchezaji akipewa kadi? Kama jibu ni ndiyo basi Wana kila sababu ya kudai hizo pointi 3. Kama jibu ni hapana kwanza wapigwe faini kwa usumbufu
Acha upumbavu we dogo, Kamati haijatoa uamuzi we unataka kuwa-preempt. INAELEKEA DAR JUA KALI LINAKUSUMBUA.
Siku moja baada ya kamati ya haki na hadhi za wachezaji kukaa kikao na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo suala la Simba kupewa point tatu dhidi ya Kagera Sugar kwa madai ya kumchezesha mchezaji Mohamed Fakhi akiwa na kadi tatu za njano, leo Simba wametoa msimamo wao juu ya suala hilo.
Simba kupitia kwa afisa habari wao Haji Manara wametoa msimamo wao kuhusiana na suala hilo baada ya kuona kamati ya haki za hadhi za wachezaji inapindisha mambo ikiwemo taratibu kwa mujibu wa Haji Manara, kucheleweshwa kutolewa maamuzi kumezidi kuzua hofu kwa mashabiki wa soka.
Chanzo: Millard Ayo
Nibebee nibeebe nibembeleze nibeebe,........Lile bwawa pale jangwani mmefukia au mna mpango wa kufuga samaki pale
Kweli bado tupo zama za ujima. Records zinatunzwa kwa hivo