HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba bhana, ishu ngumu hii, hawana uhakika! Nani aliwambia Fakhi alikuwa na kadi ya njano?
Pamoja na kuwa sikuungi mkono kuhusu kupata point tatu kuvukia jangwani (matopeni) lakini hilo la kuwaonea Kagera kuanzia kule kwenye rambirambi limenisikitisha sana.Mmezoea kuwaonea watu wa Kagera eeeh? Rambirambi zimeenda kwenye miundombinu na points nazo mnataka ziende kuwasaidia kuvuka Jangwani...aaakha, hapana.
Usitoke nje ya mada mkuu.Povu la mkwasa na mkemi wangewekeza nguvu zao kule tusingefungwa 4G wala ndugai asingekuwa na neno mjengoni
Yaani mkuu we acha tu. Simba ni timu ya hovyo sana. Toto Africa nao wakabana, wasubiri kushitakiwa kwa kosa la kukataa kupokea rushwa kama wenzao Mbao FCKama wakikuwa wanajua Fakhi ana njano 3 kwa nini walikubali kucheza hadi wakakubali na mimba?
Si ndiyo hapo mkuu, sijui kitu gani watu Kagera walikosea? Hata sipati jibu mkuu.Kagera maskini kwanini mnaonewa sana mnapokonywa kila kitu Mara rambirambi,Mara point,shida watz wanaamini dar pekee timu za dar juzi bukoba imepata mafuriko serikali kimya,barabara ndo balaa mashimo kama makaburi,yaani sijui kagera iliikosea nini serikali?
Bado mmepoteana??Simba ni klabu ya hovyo.
Pakeni rangi ukuta
Wapi Kaitaba au njia panda ya Kate..ro?Bado mmepoteana??