Msimamo wa VPL: Takwimu za Simba na Yanga ni mbingu na ardhi

ifikie wakati simba tuache upumbavu badala ya kuwaza jinsi ya kupambana na vilabu bora africa tunawaza yanga
 
Yanga jamani wana matatizo gani? Yani hata uchukue Goal Difference ujumlishie na Points bado hawawezi kufikia points za Simba.

Alafu huku jukwaani na mitaani wana midomo kweli lakini uwanjani ni hewa tupu wanakuwa hivi. 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…