OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simba akiwa mbele kwa mchezo mmoja tu;
Yanga wako nafasi ya 8
Yanga iko nyuma kwa point 10
Goal difference ya Simba ni 24 huku ile ya Yanga ikiwa ni 3.
Swali la kujiuliza Yanga wanapata wapi ujasiri wa kubato na Simba? Hapa nimepata majibu kwa nini Yanga walishangilia droo