Msimamo wako kiuchumi ndio fursa yako

harafu uzi huu utachangiwa na watu wachacheeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge la uzi mtoa uzi apewe digrii ya heshima! namba 1 nimeipenda. biashara zote ni nzuri kinachotakiwa ni kukomaa na kufuata masharti kila biashara ina masharti na miiko yake cha msingi ni kuifuata kinachofuatia ni mafanikio. ujanja ujanja hautakiwi kama mahindi yanahitaji kupaliliwa mara mbili wewe umepalia mara moja usitegemee maajabu yoyote.
 


Swali zuri ndani ya mada nzuri
 
Aiseeh! acha nisiwe mchoyo wa asante.
Asante sana [HASHTAG]#john[/HASHTAG] issa#,Kwa kutuletea uzi makini wa kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: SDG
Bro hongera kwa ujumbe mzuri nimepata kitu cha kujifunza, ni kweli kabisa kushikilia kitu kimoja na ukaweza kukimudu na jambo jema na ambalo litakufanya uwe mjuzi wa jambo hilo tofauti na kuwa na mipango mingi na shughuli kemkem ambazo huna ujuzi nao,kwa mfano mimi fursa niliyoichagua katika maisha yangu ni kudeal na mpunga pamoja na mahindi na karanga either kwa kulima au kununua basi vingine natamani kufanya ila sina ujuzi navyo bora huku nilipo nina a,b,c zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: SDG
Hili somo ni muhimu sana kwangu ninaetamani kujichanganya kila mahali
 
Graduate wengi tunaingia kwenye miradi kichwa kichwa.mfano Leo unaenda kijijini kulima mahindi au ufuta kichwa kichwa bila kuaga,nakuhakikishia hata ufuate masharti ya kilimo vipi huwezi kutusua.Kuna jamaa alitia m5 kwenye matikiti na kufuata masharti yote ya kilimo,Sikh anaenda kuvuna akakuta matikiti yote yametobolewa na PANYA wakati shamba l jirani take liko salama.
 
tatizo nitajuaje sasa kama hiyo kazi ndio ninayostaili kuifanya maana hamna kazi kama kuchagua aina ya kazi ya kufanya inauma sana haisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Jiulize ni task gani ukifanya unainjoi kiasi kwamba unatamani muda uchelewe. Pia ni eneo gani watu wanakuomba ushauri zaidi.
 
hahahah mkuu usinichekeshe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: SDG
hahahah mkuu usinichekeshe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka haya mambo huwezi kuamini mpaka yakukute.Kumbuka Jamii zetu zimebobea kwenye mambo ya kishirikina hivyo hawawezi kukubali unafanikiwa wakati wao miaka nenda rudi wanasota.Hivyo suluhisho ni wewe kukabiliana n mazingira kwa njia utakayoona inafaa.mfano Leo ukienda kwenye makanisa kuna maji ya baraka,mafuta ya upako na vinginevyo.unafikiri kazi take nini?Dini zote zinafahamu nguvu ya shirki katika kurudisha nyuma maendeleo ya mwana wa adamu.
 
Well said. Ni ujinga kuacha kile unafanya na kukimbilia fursa nyingine kisa fulani anafanikiwa. Muhimu ni kuhakikisha kwenye kile unafanya kuna suluhisho unatoa kwa jamii hapo utafanikiwa. Vile vile ni muhimu kufanya kile unachokipenda na unachokiweza hauta ona ugumu. Fursa nyingi zipo kwenye changamoto na mabadiliko ya kiuchumi. Ukiongozwa na falsafa ya kwanini unafanya kitu fulani (kuacha lengo la kipato) basi utafanikiwa hakika.
 
Salute kwa bandiko hili.. naongeza kidogo tu... Usifuate fursa huku ukiwa na njaa tumboni... tibu njaa kwanza halafu ufate fursa ukiwa na akili yako kamili..
 
Mkuu naweza kupata angalau mawasiliano ya wakulima wanao lima kahawa
 
Mkuu naweza kupata mawasiliano ya wakulima wanao lima kahawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…