Msimu bora kwa Kikosi kilicho bora Tanzania

Msimu bora kwa Kikosi kilicho bora Tanzania

Uchira 1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
5,994
Reaction score
8,696
Salam kwa JF member wote

IKUMBUKWE
*Sina upendeleo na klab yoyote
*Si mtaalam sana wa mpira wa miguu
*Naandika haya kwa mtizamo wangu kutokana na kufuatilia mpira wa miguu toka 2016 mpaka leo 2023 kwa kiasi flani

YANGA WANAMSIMU MZURI TOKA 2022 NA UZURI HUO UNAWEZA KUFIKA 2025

Haya nayaandika kutokana na ukweli kwamba msimu wa mwaka jana walifanya usajili ulioonekana wa kawaida ila wachezaji ki uhalisia walikuwa ni wazuri na baada ya kufika tz magari yakawaka haswa. Mfano mayele hakuwa na jina kubwa sana alipokuwa anakuja kujiunga na yanga ila ni mchezaji mzuri na mfungaji anaetishia magolikipa. Mayele n mfungaji ambaye kilakocha anatamani kuwa nae. Azizi Ki, Aucho,Bangala na wengine wengi kitu kilichopelekea muungano mzuri wa kikosi. Kocha anakuwa na wakati mgumu wa kujiuliza aanze na wachezaji gani katika kikosi cha kwanza hii inarokana na ubora wa wachezaji.

Msimu uliopita Yanga ilionesha kuwa inalengo na kweli ilithibitika baada ya kuchukua ubingwa wa ligi. Kikosi walicho nacho yanga nathubutu kukilinganisha na kikosi cha Simba cha mwaka 2016/17,2017/18,2019/20

Kutokana na hayo na kutokana na mwenendo wake wa kufanya vizuri kwa mechi za nyumban na za kitaifa na pindi nikiwaangalia uwanjani naona wanawasaha mzuri katika misimuu hii kama kikosi hakitakumbwa na madhila. 2023 naona huu mwaka Yanga wanakila sababu ya kufanya vizuri katika NBC pia shirikisho.

Shirikisho yanga wanakila sababu ya kuvuka na kwenda robo fainali. Huu mwaka ni wa yanga kwa uhakika mkubwa sana ninaona kile walichokifanya Simba,yanga nao wanauwezo wa kukifanya katika misimu hii miwili ya mbeleni. Yanga kutokufanya vizuri watapaswa kujilaumu wao wenyewe maana wanakila kitu ambacho wapinzani wao walikuwa nacho katika misimu yao ya nyuma yani,

Nawatakia Yanga mafanikio katika michezo yao ya kimataifa ambayo inapeperusha vyema bendera yetu ya taifa.

Naona mafanikio makubwa kwa klabu ya yanga kwa mwaka huu wa 2023,2024 ila mwaka 2025 ndio utakuwa mwaka wa timu ya yanga kuwa na ups and down kutokana na kufanyiwa maboreaho ya wachezaji, yani wengi watakuwa wameachwa,wameuzwa na kutakuwa na maingizo mapya ya wachezaji.

Yanga wanapiga hatua nyingine katika mashindano ya kimataifa.
Huu ndo msimu wao,huu ndo muda wa kunawa mikono na kungojea chakula ambacho kinapakuliwa.
 
Basi sawa.

Karibu sana utopoloni!

Tupo sana kileleni na unasema kweli makombe yote ya ligi kuu bara ni yetu kwa miaka yote kumi atakayokaa Prof Nabi pale mtaa wa Twiga.
Yanga nayo ni kama Twiga kwasasa iko kule juu!

Simba watalia na kusaga meno kwa ten years!
 
Basi sawa.

Karibu sana utopoloni!

Tupo sana kileleni na unasema kweli makombe yote ya ligi kuu bara ni yetu kwa miaka yote kumi atakayokaa Prof Nabi pale mtaa wa Twiga.
Yanga nayo ni kama Twiga kwasasa iko kule juu!

Simba watalia na kusaga meno kwa ten years!
Mpira unaonekana
 
Basi sawa.

Karibu sana utopoloni!

Tupo sana kileleni na unasema kweli makombe yote ya ligi kuu bara ni yetu kwa miaka yote kumi atakayokaa Prof Nabi pale mtaa wa Twiga.
Yanga nayo ni kama Twiga kwasasa iko kule juu!

Simba watalia na kusaga meno kwa ten years!
Mkui huko sikoo. Mm n mtu wa mpira tuu ila naona yanga still wanazidi kudhihirisha ubora wao. Kitendo cha kuingia nusu fainali naona fainal inanukia
 
Japo Mimi si mshabiki wa timu hapa Tanzania .....lkn binafsi navutiwa na timu wanajiita wananchi

Ni timu inayocheza vizuri bila kutafuta huruma Kwa watu .
.....

Sijawahi kuona wanalalamika kufa kiume
 
Salam kwa JF member wote

IKUMBUKWE
*Sina upendeleo na klab yoyote
*Si mtaalam sana wa mpira wa miguu
*Naandika haya kwa mtizamo wangu kutokana na kufuatilia mpira wa miguu toka 2016 mpaka leo 2023 kwa kiasi flani

YANGA WANAMSIMU MZURI TOKA 2022 NA UZURI HUO UNAWEZA KUFIKA 2025

Haya nayaandika kutokana na ukweli kwamba msimu wa mwaka jana walifanya usajili ulioonekana wa kawaida ila wachezaji ki uhalisia walikuwa ni wazuri na baada ya kufika tz magari yakawaka haswa. Mfano mayele hakuwa na jina kubwa sana alipokuwa anakuja kujiunga na yanga ila ni mchezaji mzuri na mfungaji anaetishia magolikipa. Mayele n mfungaji ambaye kilakocha anatamani kuwa nae. Azizi Ki, Aucho,Bangala na wengine wengi kitu kilichopelekea muungano mzuri wa kikosi. Kocha anakuwa na wakati mgumu wa kujiuliza aanze na wachezaji gani katika kikosi cha kwanza hii inarokana na ubora wa wachezaji.

Msimu uliopita Yanga ilionesha kuwa inalengo na kweli ilithibitika baada ya kuchukua ubingwa wa ligi. Kikosi walicho nacho yanga nathubutu kukilinganisha na kikosi cha Simba cha mwaka 2016/17,2017/18,2019/20

Kutokana na hayo na kutokana na mwenendo wake wa kufanya vizuri kwa mechi za nyumban na za kitaifa na pindi nikiwaangalia uwanjani naona wanawasaha mzuri katika misimuu hii kama kikosi hakitakumbwa na madhila. 2023 naona huu mwaka Yanga wanakila sababu ya kufanya vizuri katika NBC pia shirikisho.

Shirikisho yanga wanakila sababu ya kuvuka na kwenda robo fainali. Huu mwaka ni wa yanga kwa uhakika mkubwa sana ninaona kile walichokifanya Simba,yanga nao wanauwezo wa kukifanya katika misimu hii miwili ya mbeleni. Yanga kutokufanya vizuri watapaswa kujilaumu wao wenyewe maana wanakila kitu ambacho wapinzani wao walikuwa nacho katika misimu yao ya nyuma yani,

Nawatakia Yanga mafanikio katika michezo yao ya kimataifa ambayo inapeperusha vyema bendera yetu ya taifa.

Naona mafanikio makubwa kwa klabu ya yanga kwa mwaka huu wa 2023,2024 ila mwaka 2025 ndio utakuwa mwaka wa timu ya yanga kuwa na ups and down kutokana na kufanyiwa maboreaho ya wachezaji, yani wengi watakuwa wameachwa,wameuzwa na kutakuwa na maingizo mapya ya wachezaji.

Yanga wanapiga hatua nyingine katika mashindano ya kimataifa.
Huu ndo msimu wao,huu ndo muda wa kunawa mikono na kungojea chakula ambacho kinapakuliwa.
Umesema ukweli kabisa pongezi mkuu
 
Japo Mimi si mshabiki wa timu hapa Tanzania .....lkn binafsi navutiwa na timu wanajiita wananchi

Ni timu inayocheza vizuri bila kutafuta huruma Kwa watu .
.....

Sijawahi kuona wanalalamika kufa kiume
Aahaaaaaaa
 
Je Yanga mtazidi kuwa bora zaid leo.
Ni matumaini yangu bado kikosi cha yanga kipo vizuri na kinaweza kufanya mambo makubwa sana hasa watakapokutana na mamelod sundown ya south Africa na hata marudio kule south Africa.
 
Back
Top Bottom