mbati nenga
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 267
- 344
Hongera wenzenu tumezoea ubingwa wa ligi kuuUsifananishe matokeo ya mechi na tabia yako ya kuweka mkeka, toka lini taratibu za mkeka zimeanza tumika mpirani?? Jana yanga kafa!
Ishu ni kwamba siku hizi tumezoea sqna kuifunga yanga, hatusjamgilii!
Nani kasema ..Nasikia ameshukuru Mungu kusikia TifuaTifua imemfungia Chirwa kucheza hii game. Otherwise sijui nini kingetokea.
Usifananishe matokeo ya mechi na tabia yako ya kuweka mkeka, toka lini taratibu za mkeka zimeanza tumika mpirani?? Jana yanga kafa!
Ishu ni kwamba siku hizi tumezoea sqna kuifunga yanga, hatusjamgilii!
sasa mkuu, yaani unataka ligi yetu iwe boring kama Bundesliga au Serie A ambako ni timu moja tu inatawala ligi miaka yote?
waachieni na wenzenu mwaka huu ili kuwepo excitement kwenye ligi yetu bana!!
Ligi kuu hawachezi?wenyewe wanasema wamesajili kwa ajili ya mashindano ya CAF.
Hivi zile alama ziliishia wapi?Wakuu. Mnazungumzia ule msimu wa mwaka 2016/17 ambao Dar es Salaam Young Africans SC alitwaa NDOO kwa mara ya 3 mfululizo?
Hadi mkaandikaBarua FIFA ya kudai alama za mezani?
Naombeni jibu Tafadhali.
Lete jumla ya mechi ambazo Yanga ameshinda dhidi ya Simba na zile ambazo Simba ameshinda dhidi ya Yanga.
Similarly, who told you that higher transfer fee guarantee a win or league title? Don't you remember what Mbao FC earned from Yanga last season?Kutokutumia akili na ushamba ni chanzo kimojawapo cha kujizolea aibu katika maisha yako! nani amekuambia "possesion guerentees a win or a league tittle".?
Mwenzio aliweka bondi mke wake iwapo Simba atatwaa ngao, sasa hivi watu wanakula. Wewe komaa na Yanga yako tu kama hujapata kichaa. Washabiki wa Yanga walio wajanja wameacha kabisa kuizungumzia hiyo mechi, sasa hivi wanaanzisha nyuzi za siasaNi bora iitwe Bundesliga au Seria A kuliko Mikia kutwaa NDOO ya VPL.
This heavy punch has accurately landed on target!Ina maana Simba ile pungufu ni zaidi ya Simba hii kamili? Na kama ni hivyo ina maana kwamba usajili wa mwaka huu umeirudisha timu nyuma badala ya kwenda mbele?
Nimefuatilia huu uzi kutoka mwamzo mpaka ulipofikia, nimegundua kuna kitu unakifahamu kuhusu football ila tatizo kubwa kinalofanya uonekane kiazi ni huo ushabiki maandazi uliokua nao.Yaani hawa Mikia wao mafanikio makubwa ni kumfunga Yanga bao 5 hakuna zaidi ya hapo. Si kwenye Taji la Ligi au Ngao ya hisani tunawakimbiza vibaya mno.
Nilidhani aliweka bondi Nyumba, KUMBE MKE?Mwenzio aliweka bondi mke wake iwapo Simba atatwaa ngao, sasa hivi watu wanakula. Wewe komaa na Yanga yako tu kama hujapata kichaa. Washabiki wa Yanga walio wajanja wameacha kabisa kuizungumzia hiyo mechi, sasa hivi wanaanzisha nyuzi za siasa
Kuna kuongea mpira ki ushabikiSiku ile mlivyokula 2-1 simba wakiwa pungufu hawakuwepo hao?
Sasa jiulize kwa nini upande wa pili hawajapata hizo 1.3bilioni!
Alafu unapoanhalia goals scored angalia pia goals allowed, utapata jibu thamani ya hiyo unaita 1.3.
Shishbeib anawafanya mjione kuwa mpo kama manchester vile, ni wakati tu ndio utakaosema nani mkali nani mbovu,afterall mechi moja sio mwamuzi mzuri wa ubora wa timu,asanteni kwa kuja