Msimu huu Bilioni 1.3 itamaliza na Magoli machache kuliko Milioni 450.

Similarly, who told you that higher transfer fee guarantee a win or league title? Don't you remember what Mbao FC earned from Yanga last season?

Nilitoa Mfano kwenye suala la Possesion, na nitakupa mfano kwenye suala hili.

-Possesion haikuhakikishii ubingwa, Kwenye ligi kama VPL.
-The higher transfer fee budget does guarantees you a tittle.

Kwa mahesabu ya haraka haraka kwenye miaka 4 ulikuwa na highest average possesion kwenye takribani kila msimu...kwenye misimu yote 3, but who was the VPL Champ kwenye hiyo misimu 3.? (Dar es Salaam Young Africans SC)

SABABU: Yanga alikuwa akitumia Bajeti kubwa mno kwenye suala zima la Usajili.

Upo hapo?
 
Hivi hao wachezaji tuliowaona juzi
Wamo kwenye Timu ya taifa au ni wageni
Tutafute na kuandaa wachezaji wetu chipukizi badala ya kuendela kusajili wachezaji wa nje
Nani staika hapa tanzania anaye weza fanya ukatoka nyumbani ukujiamini siku Taifa stars wanacheza na Cameroon
Mavugo
Okwi
Niyonzima
Au kamusoko
Bado tunapoteza muda na kufurahisha nafsi zetu kwa muda tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umehoji Kibashitebashite tu. Sina uhakika kama unaujua Mpira. Football is a game. You can score goals or you can not score. A few trial games not enough to draw conclusions. Kikosi kinaweza anza slowly lakini kikafinish strongly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipigo chenu kiko palepale mwaka huu. Rukeni huko na huko lakini kichapo pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mku unang'ang'ania takwimu za historia, ukiletewa za 5-0 haupendi. Utakufa kwa presha!



View attachment 574411
Hahaha Mtani unanichekesha mno, Etiutaki tujadiri Takwimu za ujumla unata tuzungumzie takwimu yako ambayo unaipenda.

By the way! Yanga is not the first biggest club to lose a gameby that Margin. Nakusogozea moja ya klabu moja kubwa ulimwenguni iliyo fanikiwa kwa Mataji mengi zaidi.....




Note: RealMadrid is the most succesfull Football Club in the world in terms of tittles
 
Mkuu hebu nenda kwenye Profileyangu then urudie kutazamana kusoma upya wasifu wangu. Hakuna pahala nimeandika kuwa "MIMI NI MCHAMBUZI WA SOKA".

Wachambuzi wa soka ni akina eddo, jeff na shaffih mpaka leo hakuna mwenye uhakika wa klabu wazipendazo unless uwe insider kwenye maisha yao.
 
Leta referrence ya msimu wowote ambao unaoweza kusupport hoja hii.....
 

Mkuu hivi bado na wewe umo kwenye jopo la watu wenye kuamini kwenye "Taifa Stars"? Hili ni tatizo ambalo kwenye lifetime yako huto kuja ona likiwa sawa.
 
Nilidhani aliweka bondi Nyumba, KUMBE MKE?

Kwa namna wanawake walivyo wengi hivi unashindwaje kujiopolea mwingine? Au serikali imepiga marufuku kuona wake zaidi ya mmoja?
Cha ajabu, amemkomboa kwa kutoa nyumba!
 
Haji Manaraaaaa.. ... Sawa bwana. This is Simba. Kiss wamepata mfadhili MO. Ngoja TRA wake hukohuko. Na kodi za viwanjaa na majengo. TRA Oyeeeee.. Shughulikia fefha za usajili. Wasema wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okwi gani unamzungumzia ?
 
Mechi ya kwanza imeshachezwa, tuletee mrejesho!
demigod.

Okwi gani unamzungumzia ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…