Msimu huu Mayele bado anakazi kubwa ya kufanya

Magoli halali Kwa mujibu wako Wewe utopolo sio? Sahauni kiatu mbele ya Bocco na Phiri Kwa huyo striker wenu uchwara underdog wa Mpole.

We Ni Kilaza Sana Kwenye Football [emoji28], Striker Uchwara Kashawapiga Kamba 3 Kwenye Mechi 5 [emoji28][emoji28]
 
Nendeni kwenye ista story ya Mayele muone alivyompa kongole Saido kwa performance yake.
 
Msimu uliopita ilikuwaje akapewa ng'ombe badala ya kiatu?
Kawaulize marefa watakwambia kilichotokea, Safari hii imekula kwao na leo atawapigia simu msiache kupokea dhidi ya mtibwa
 
Kesho watarudi hapa kuwatukana hao wakina Saido

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu. Maana dakika 0 tu wamebadilika. Wanaweza wakakusifia mpaka ukashangaa, halafu ghafla tu wanaanza kukusimanga na kukuponda.

Leo John Bocco anasifiwa! Lakini huwezi kuamini miezi michache iliyopita walivyokuwa wakimtukana himu jukwaani.
 
Kwaio Sopu Ni Striker Uchwara??, Au Nawe Ni Kama Huyo Kilaza Hapo Juu Anayesema Mayele Ni striker Uchwara..
Umesoma nilichoandika na ukaelewa? Hayo uliyoyaandika mimi nimeyasema? Au bado wenye akili huko ni wale wale wawili
 
Feisal keshaondoka mkuu
 
Tanzania kama tuna akili tuwaandae hawa madogo wawili vizur watakuja kutusaidia ..SOPU NA MZIZE
 
Hayo magoli 14 kayafunga vp kama Yanga hakuna player makers? vitu vingine mjaribu kuficha ujinga
 
Unafikiri Kwa nini Luc aliwaita mnabweka kama mambwa na manyani? Bora Fans wa Simba huwa wanaishia kuwasema Tu wachezaji wao. Nyinyi huwa mnawarushia makopo wachezaji wenu walioflop. Akina Sarpong walipata shida Sana sijui Wewe uto kumbukumbu unatunza Kwa kutumia nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…